ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,825
Ukiwa unapitia katika stress usiku usingizi huwa unakata huwezi kulala fofofo,sasa ule usingizi wa round nyingine baada ya kushtuka kuna ndoto fulanifulani huwa zinaendelea akili lakini ni kama vile wewe ndo unakuwa director yaani simulizi unaipanga script moja na nyingine na zote zinapatana na akili ya uhalisia.Na mpaka watu uliowahi kuishi nao wanakuwepo kama wahusika unaweza ukachukua mmoja wa primary mwingine wa secondary na wote waka perform scene unayoiota.
Na kama ni mtu mcheki porno usiku kijana wa ovyo ambaye macho yamejaa uzinzi basi unaweza ukaota unacheza x kabisa na mpaka style mpya unaweza ukaibuni wewe.Ubaya wa hizi ndoto uchangamane na ka sleep paralysis unajikuta kama vile unaishi kweli kama ni mtu wa comedy utajikuta unaigiza vitu vya comedy ndotoni ambavyo ni kweli vinachekesha.
Nahisi hata watunzi wengi wa Sanaa,maarifa,ubunifu humu duniani huvitunga wakiwa katika situion hio ila wanaposhtuka fasta huku moyo unaenda mbio palepale wanayaandika yale ma idea katika mpangilio baadae ndo wanaedit.
Na kama ni mtu mcheki porno usiku kijana wa ovyo ambaye macho yamejaa uzinzi basi unaweza ukaota unacheza x kabisa na mpaka style mpya unaweza ukaibuni wewe.Ubaya wa hizi ndoto uchangamane na ka sleep paralysis unajikuta kama vile unaishi kweli kama ni mtu wa comedy utajikuta unaigiza vitu vya comedy ndotoni ambavyo ni kweli vinachekesha.
Nahisi hata watunzi wengi wa Sanaa,maarifa,ubunifu humu duniani huvitunga wakiwa katika situion hio ila wanaposhtuka fasta huku moyo unaenda mbio palepale wanayaandika yale ma idea katika mpangilio baadae ndo wanaedit.