Nimecheka sana, thank you for making my day ze encyclopedia, daah! mbavu zangu, je na machangudoa wa Tz nao wana maswali? Kama yapo naomba utujuze tafadhali.
da huyo mwana naona amepania kiasi kwamba amesahau kutumia maarifa,hivi haja stuka kwa gia zote alizotupa kaishia kurushwa rushwa, bola basi ayafupishe kwani akijisahau mwisho kuambulia utam wa taswira, labda huyo gashi awe outstanding si kwa hadhi ya chungadoa, pingine amesahau neno usiyavamiea usioyaweza kuogelea utazama, apige tizi kwanza ndo atamng'oa mrembo si kung'ang'ana na hicho kimeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.