richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 574
- 933
Kwa mwanamke anayekupenda kweli huwa hawataki mambo makubwa, mchukulie vichupi, ama kamkufu ka silver, kanga/kitenge/blauzi chochote huwa wanashukuru
nikuletee kijora?Raha sana kuletewa zawadi....
Awwww ntafurahi....nikuletee kijora?
Haya mamii ngoja nikuletee msomali wa sikukuuAwwww ntafurahi....
Na kama umetoka kiabakari?Inatgemea umetoka safari ya wapi,
Kama umetoka Dodoma-zabibu
Kama umetoka Singida - Kuku
Kama umetoka Msata -mkaa
Kama umetoka Tanga -machungwa
Kama umetoka Dubai - gari
Kama umetoka China -simu
......
Na kama umetoka kiabakari?