Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,955
- 5,877
(•‿•)Hapana mkuu mi mishe zangu ilala sema naendaga Tarimba house Mwanamboka kula Shawarma.
(•‿•)Hapana mkuu mi mishe zangu ilala sema naendaga Tarimba house Mwanamboka kula Shawarma.
hahahahaha uwiiiKikombe Cha Shahawa, hapa ndio atakupenda kuwa ww Ni mwaminifu ila munakutana bed unamwaga punje ya haradari hata Kama umempelekea gari ataona haifai
😂Kweli ujuehahahahaha uwiii
😂Moto gani sasaWe mpelekee moto, peleka moto... mpelekee moto tu.
Nilimletea harufu ya pombe..wakati nilishamuaminisha nimeacha......kilinuka wazee...mpaka majirani ambao hata hatukutaka wajue matatizo yetu ya home walikuja kushuhudia varangati...shemeji yenu anapiga kelele eti "anaiuaaa..njooni mnisaidieee"...wakati mimi Niko zangu mbali hata sijamgusa asee.....nimeamini wanawake HAWATABIRIKI....ila atajua mwanaume HACHEZEWIHabari za muda huu JF?
Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi?
Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa?
Karibu...
umenikumbusha kuna mtu kaniabia kuna zawadi yng ila nikachukulie kwakeMpelekee chupi lakini iwe cotton og, utanishukuru😂
Hapo lazima uliwe aiseeumenikumbusha kuna mtu kaniabia kuna zawadi yng ila nikachukulie kwake
mbolomtiHabari za muda huu JF?
Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi?
Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa?
Karibu...
Habari za muda huu JF?
Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi?
Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa?
Karibu...
Nilitoka Somalia(mogadishu) can you guess nilibeba nn??Habari za muda huu JF?
Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi?
Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa?
Karibu...
DuuuInatgemea umetoka safari ya wapi,
Kama umetoka Dodoma-zabibu
Kama umetoka Singida - Kuku
Kama umetoka Msata -mkaa
Kama umetoka Tanga -machungwa
Kama umetoka Dubai - gari
Kama umetoka China -simu
......
KhaaaaaaWe mpelekee moto tuu!
ndo siendee aiseeHapo lazima uliwe aisee
Wa enzi zetu hata ukimletea kilemba(kitambaa Cha kichwani),atakushukuru kwa magoti Tena yale ya Kisukuma.Habari za muda huu JF?
Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi?
Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa?
Karibu...
Kwani nani alokwambia kuhusu zawadi za viroba na magunia?Kubebabeba viroba au magunia safarini tena kwa usafiri wa bus hii kitu siipendi kabisa labda niwe na usafiri wangu