MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Habari wakuu,
Nina ndugu yangu mmoja alipatwa na tatizo la mtoto wake kupata ajali na ikabidi alazwe na kufanyiwa upasuaji. Kwa bahati mbaya alikuwa hana hela, hivyo akaamua kunipigia simu ili nimsaidie; nikwambia hapa nipo njiani naenda kulipa ada ya watoto wa sekondari wamefukuzwa shule sababu ya ada ya shule, nikitoka shuleni kulipa ada nitajaribu kukopa kwa marafiki zangu, akasema nitumie hiyo hela halafu ada ndiyo ukakope, nilichukia nikafuta na mpango wa kumsaidia.
Naombeni mawazo yenu kuhusu uamuzi niliochukua.
Nina ndugu yangu mmoja alipatwa na tatizo la mtoto wake kupata ajali na ikabidi alazwe na kufanyiwa upasuaji. Kwa bahati mbaya alikuwa hana hela, hivyo akaamua kunipigia simu ili nimsaidie; nikwambia hapa nipo njiani naenda kulipa ada ya watoto wa sekondari wamefukuzwa shule sababu ya ada ya shule, nikitoka shuleni kulipa ada nitajaribu kukopa kwa marafiki zangu, akasema nitumie hiyo hela halafu ada ndiyo ukakope, nilichukia nikafuta na mpango wa kumsaidia.
Naombeni mawazo yenu kuhusu uamuzi niliochukua.