Ukitoa bikira lazima damu itoke!?

Well inategemea na mwili wa mwanamke uyo
Kuna wengine wapo very wetty wapo very dry
E.G angalia viganja vyako afu kama daima mikono yako ni mikavu sana bas wewe in nature una dry skin!! Meaning ata damu yako ya bikira ndogo sana
Ata ka ilitoka ni kwa asilimia ndogo
Kwenye kusikia utamu usihofu !! Bado maungo yako hayaja adopt vizuri ududu! Yakizoea yatasikia utamu fluently since mmeo anakuandaa vizurii
 
Wadau wa hapa kuna jambo linanichanganya mimi na wadau wengine humu na wasiyo humu


******/////
JE UKIMTOA MTOTO WA KIME BIKIRA NI LAZIMA DAMU ITOKE ?
 
kwani unafanya mauaji? inaweza kutoka au isitoke, inategemea dada mwenyewe. kila dada ana tofauti kwa hilo..
 
[emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] jazia nyama mkuu kupunguza maswali kama 'ya wapi?',wadau wakupe muongozo
 
Mi sijaelewa mtoto wa kime ndo jinsia gani!![emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
hii ni wiki ya mabikra hapa jamvini....
nachekecha akili nijaribu kumkumbuka alienitoaga, aje hapa naye atoe ushuhuda make hadi nahisi wivu!!!!
Hahahaaaa aiseee balaa sn,imekuuma ee?
 
Damu haiwezi kutoka ikiwa bikra yako imetokana na ndimu.

Kumbuka hata kidole kinaweza kuitoa bikra,kutolala na mwanaume utoto haikufanyi kuwa bikra. Mkumbuke yule dogo wa mtaani kwenu kipindi mnacheza kombolela alikufanya nn na kidole chake cha kati.

Utamu utakuja tu,endelea kutoa tunda.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…