BUSARA ZANGU
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 779
- 1,267
- Thread starter
- #21
Na bado Nyalandu akaenda Upinzani ili awe salamaSerikali imekua ikiona aibu kuwashughulikia wapinzani?Jiulize;
1.Simu ya Lissu iko wapi?
2.Simu ya Zitto iko wapi?
3.Lissu ana kesi ngapi mahakaman?
4.Wafuasi wangapi wa upinzani wapo mahabusu?
5.Wapinzani wangapu wamekamatwa kwa kufanya mikutano ya kisiasa?