Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

binafsi sina tatizo na wanawake wa kipare, nampenda mke wangu and she is a source of all i have, beautiful family and life progress.
 

Bro unawapigia debe dadazako eh. Hakuna kabila zuri wala baya, tabia ni ya mtu mwenyewe
 
Mkuu vipi upande wa wanaume? Nao hivyohivyo kama dada zao?
 
Mm niliambiwa tu, Babu aliacha wosia tusioe wapare!. Siju babu aliona nini huko!
 
mke bora ni sitti mtemvu peke yake :smile-big:
 
Nikweli kabisa nakumbuka kuna mama moja mtu mzima wakipare nilimsaidia sana kabla cjaolewa kipindi alipojifungua both financially na socially. cku ya harusi yangu kaka kuniteta kwa mdogo mamkwe wakumjua 'eti namhurumia huyu kijana huyu dada alikua nawaume wengi' na more stupid things. To hell with such mountanious tribes'
 
Last edited by a moderator:
ME




yote tisa ,kumi Me nalia na wanyakyusa,tena skuhz wachache wanaolewa na hao wachaga wenu wanao ua mara mkivuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…