Ukitaka kumchunguza mwanaume

Kufanya chochote kile??!!, Kwangu mimi sio kweli. Hata kama napenda sana Huwa nina mipaka yangu. Siwezi kufanya kila kitu.
 
Kama n yule aliekataliwa na bradheri yako jipe muda wa kujua zaidi kabla hujayakanyaga
 
Kwanini usifanye homework yako vizuri kwa hiyo miaka 2 ya mahusiano yenu?. Ndoa sio jambo la kuzimia moto, inahitajika utulivu wa hisia na akili kwenye hiyo taasisi hakuna trial and error ukiyatimba ni moja kwa Moja. Fanya homework yako vizuri
 
Mtu hawezi kufake tabia kwa muda mrefu kama ana tabia mbaya utaona haraka anavyokutreat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…