Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
waswahili husema majuto ni mjukuu...hili ni kweli kabisa.......
utafiti wangu umebaini yafuatayo:-
1) Mapenzi hayana subira................ukishikwa shikamana.............kwa sababu chelea chelea utakuta umekatwa bogi.....
2) wengi hawafaidi penzi kwa sababu ya khofu...................na khofu hii huchukua sura nyingi zikiwemo:-
a) Khofu ya kumwagwa......hususani baada ya tunda kuliwa...............you deeply feel you need to protect whatever is left of your reputation...........if any...........and in most cases there is too little of it to qualify for anything........
b) khofu ya magonjwa ukizingatia penzi hupimwa kwa shamrashamra za pekupeku...........mtazamo ni kuwa asiyeitaka basi hakupendi kwa sababu hakuamini..........akuhisi vibaya ya kuwa wewe mwingi wakati umejikalia kimya mwenyewe........if it is really true...............and I have some serious doubts on that assertion......... particularly in this wicked generation........
c) khofu ya historia ya mtarajiwa........................in particular a bad boy image................ambayo huibuliwa kutoka katika yale yanayohisiwa aliyafanya au/na yaweza kuwa kweli aliyafanya na hivyo kudhani historia huenda ikajirudia yenyewe.............khofu hapo ni kuwa hutaki kuwa sehemu ya hizo takwimu zake.......bad statistics.......................from a very negative, onesided report.
d) khofu ya kutojua malengo yake dhidi yako..........kwa hiyo unam'mwagia vumbi badala ya kujihakikishia mwenyewe analenga nini kwako................................kwani hata waswahili husema "usiandikie mate na hali wino upo........."
3) Kusahau ya kuwa wakati unampima mwenzio kwa vipimo uvijuavyo wewe hivyo vipimo hujipimi mwenyewe.....na hivyo kukamilisha usemi usemao......."nyani haoni kundule............"...laiti ungelivitumia vipimo tajwa na kujitathmini wewe mwenyewe ungeligundua.......................nyote ni kundi moja...........hakuna mwenye mikono misafi hata chembe................................
4)...............................jazilizeni nanyi, nisimalize uhondo.............
kwa maoni yangu kama hisia zako zinakutuma kuwa huyo umempenda jitose...............kwani utamu wa penzi....................is to love without fear of the unknown tinted by presumptuous speculations......................................weekend njema 4 all of u................
utafiti wangu umebaini yafuatayo:-
1) Mapenzi hayana subira................ukishikwa shikamana.............kwa sababu chelea chelea utakuta umekatwa bogi.....
2) wengi hawafaidi penzi kwa sababu ya khofu...................na khofu hii huchukua sura nyingi zikiwemo:-
a) Khofu ya kumwagwa......hususani baada ya tunda kuliwa...............you deeply feel you need to protect whatever is left of your reputation...........if any...........and in most cases there is too little of it to qualify for anything........
b) khofu ya magonjwa ukizingatia penzi hupimwa kwa shamrashamra za pekupeku...........mtazamo ni kuwa asiyeitaka basi hakupendi kwa sababu hakuamini..........akuhisi vibaya ya kuwa wewe mwingi wakati umejikalia kimya mwenyewe........if it is really true...............and I have some serious doubts on that assertion......... particularly in this wicked generation........
c) khofu ya historia ya mtarajiwa........................in particular a bad boy image................ambayo huibuliwa kutoka katika yale yanayohisiwa aliyafanya au/na yaweza kuwa kweli aliyafanya na hivyo kudhani historia huenda ikajirudia yenyewe.............khofu hapo ni kuwa hutaki kuwa sehemu ya hizo takwimu zake.......bad statistics.......................from a very negative, onesided report.
d) khofu ya kutojua malengo yake dhidi yako..........kwa hiyo unam'mwagia vumbi badala ya kujihakikishia mwenyewe analenga nini kwako................................kwani hata waswahili husema "usiandikie mate na hali wino upo........."
3) Kusahau ya kuwa wakati unampima mwenzio kwa vipimo uvijuavyo wewe hivyo vipimo hujipimi mwenyewe.....na hivyo kukamilisha usemi usemao......."nyani haoni kundule............"...laiti ungelivitumia vipimo tajwa na kujitathmini wewe mwenyewe ungeligundua.......................nyote ni kundi moja...........hakuna mwenye mikono misafi hata chembe................................
4)...............................jazilizeni nanyi, nisimalize uhondo.............
kwa maoni yangu kama hisia zako zinakutuma kuwa huyo umempenda jitose...............kwani utamu wa penzi....................is to love without fear of the unknown tinted by presumptuous speculations......................................weekend njema 4 all of u................