Kuongoza taifa siyo rahisi kama kupiga press up.. angeishia kwenye kuuvuruga uchumi tu ingekuwa angalau, lkn sasa hata roho anazivuna ktk jina la wasio julikana!!!Rais wenu kachemsha kwenye uchumi fullstop.
Kuongoza taifa siyo rahisi kama kupiga press up.. angeishia kwenye kuuvuruga uchumi tu ingekuwa angalau, lkn sasa hata roho anazivuna ktk jina la wasio julikana!!!Rais wenu kachemsha kwenye uchumi fullstop.
Watu kama wewe ndio mmejaa hapa Tz na ndio chanzo cha matatizo,utakuta hata Mpira wewe unashabikua ligi ya nyumbani!
Mungu ibariki Tz watu wengi wapo gizani...no exposure...no education...