Ukitaka kujua uchumi wetu umeshuka kweli ni rahisi tu

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
Ndugu zangu watanzania natanguliza shukrani zangu kwenu kwa kuendelea kuwa wavumilivu hasa kwa aina ya serikali tuliyonayo sasa

Kabla ya rais Magufuli kuingia madarakani uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa asilimia karibu saba

Lakini miaka minne sasa akiwa madarakani kwa mujibu wa wanaofuatilia uchumi wa kila nchi duniani wanasema uchumi wetu kwa sasa unmeshuka mpaka asilimia NNE

Juzi kwenye siku ya wafanyakazi duniani rais Magufuli alituthibitishia kuwa ni kweli uchumi umeshuka kwa kiwango cha lami, pale aliposema tena hawezi kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa serikali, ikiwa ni Mara ya NNE akisikika akisema hivyo toka aingie madarakani

Hivi kweli kama uchumi wetu unakuwa kwa asilimia 7 na zaidi, kama alivyosikika Magufuli akisema anashindwa nini kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa serikali ???

Kamwe tusiongopewe watanzania kwamba eti miradi mikubwa ndio inasababisha mishahara isiongezwe,!! ina maana awamu hii tu ndio kuna miradi mikubwa???

Serikali inasema haiwezi kuwaambia wananchi ukweli wa uchumi wake,

basi ni rahisi tu kujua uchumi umeshuka kwa kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka minne sasa

Serikali iache kutuongopea kwamba uchumi unakuwa kwa asilimia saba, huku ikishindwa kuwaongezea mishahara wafanyakazi wake

Hali hii ya uchumi inapelekea pia sekta binafsi kuzorota mno katika nchi na hili hakuna aseyelijua kwamba sekta binafsi zinakufa na zinaendelea kufa

Tuambieni ukweli ili tujue sio kutuongopea kulinda madaraka yenu
 
Ndugu zangu watanzania natanguliza shukrani zangu kwenu kwa kuendelea kuwa wavumilivu hasa kwa aina ya serikali tuliyonayo sasa

Kabla ya rais magufuli kuingia madarakani uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa asilimia karibu saba

Lakini miaka minne sasa akiwa madarakani kwa mujibu wa wanaofuatilia uchumi wa kila nchi duniani wanasema uchumi wetu kwa sasa unmeshuka mpaka asilimia NNE

Juzi kwenye siku ya wafanyakazi duniani rais magufuli alituthibitishia kuwa ni kweli uchumi umeshuka kwa kiwango cha lami, pale aliposema tena hawezi kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa serikali, ikiwa ni Mara ya NNE akisikika akisema hivyo toka aingie madarakani

Hivi kweli kama uchumi wetu unakuwa kwa asilimia 7 na zaidi, kama alivyosikika magufuli akisema anashindwa nini kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wa serikali ???

Kamwe tusiongopewe watanzania kwamba eti miradi mikubwa ndio inasababisha mishahara isiongezwe,!! ina maana awamu hii tu ndio kuna miradi mikubwa???

Serikali inasema haiwezi kuwaambia wananchi ukweli wa uchumi wake,

basi ni rahisi tu kujua uchumi umeshuka kwa kushindwa kuongeza mishahara kwa miaka minne sasa

Serikali iache kutuongopea kwamba uchumi unakuwa kwa asilimia saba, huku ikishindwa kuwaongezea mishahara wafanyakazi wake

Hali hii ya uchumi inapelekea pia sekta binafsi kuzorota mno katika nchi na hili hakuna aseyelijua kwamba sekta binafsi zinakufa na zinaendelea kufa

Tuambieni ukweli ili tujue sio kutuongopea kulinda madaraka yenu
Kwani aliekuambia uchumi ukikua ni kupandisha mishahara na sio kuwekeza nani?
 
Ni chakula ila kama unajenga gorofa huwezi kula maharage kila siku lazima ubadilishe mboga
Chukua hii fact Kaka.
Hakuna kiongozi yeyote yule aliyepo wala atakayekuja ili akurahisishie maisha, never! Pambana pambana tu,chagua chagua tu!lakini huo ndiyo ukweli. Viongozi wetu wana matatizo lakini wananchi tuna matatizo zaidi. Hatujajua tunalolitaka.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Chukua hii fact Kaka.
Hakuna kiongozi yeyote yule aliyepo wala atakayekuja ili akurahisishie maisha, never! Pambana pambana tu,chagua chagua tu!lakini huo ndiyo ukweli. Viongozi wetu wana matatizo lakini wananchi tuna matatizo zaidi. Hatujajua tunalolitaka.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Mkuu we ni mmoja ya wale watu wasiojua wanaishi kwa sababu gani
 
Chukua hii fact Kaka.
Hakuna kiongozi yeyote yule aliyepo wala atakayekuja ili akurahisishie maisha, never! Pambana pambana tu,chagua chagua tu!lakini huo ndiyo ukweli. Viongozi wetu wana matatizo lakini wananchi tuna matatizo zaidi. Hatujajua tunalolitaka.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
unakufuru au hujui dhana nzima ya uchumi. Endelea kujifunza tu!
 
Tunataka Tanzania ya Magufuli si ya marais waliopita.
Watu kama wewe ndio mmejaa hapa Tz na ndio chanzo cha matatizo,utakuta hata Mpira wewe unashabikua ligi ya nyumbani!
Mungu ibariki Tz watu wengi wapo gizani...no exposure...no education...
 
Magufuli alivyo, kuna mahali utampenda na kuna mahali utamchukia, hivyo ndivyo kiongozi anavyopaswa kuwa. Kiongozi wa kupendwa tu au kuchukiwa tu hatufai.
Kawanyima ongezeko watumishi akaenda kutoa bilions chuo cha mbeya, mpaka profesa akarukaruka.Hahahaaahaha
Magufuli oyeeee.
 
huku kisingizio kikiwa miradi mikubwa kama stiglers, SGR, Flyovers, ndeze ATCL na mengine.

Mwulize kama wakati wa Kikwete yeye akiwa waziri hakuwa na miundo mbinu iliyojengwa?

Nakumbuka akijisifia Kilometers nyingi za babaraba za lami zaidi ya 17 elfu zilijengwa wakati wa Kikwete yeye akiwa waziri hapo usisahau Madaraja makubwa na madogo na miundo mbinu nyingine

UDOM ilijengwa wakati wa nani?

Lakini wakati huo Kikwete hajasahau wafanyakazi

Wenye clip watusaidie ili tujue maendeleo katika nchi hii hayajaanza leo
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom