Ukitaka kujua Biashara ngumu fanya biashara na Wahindi

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,282
11,629
Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi

Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu bahili Duniani kuliko mtu yoyote yaani ukikaa mtaa wa wahindi utafunga biashara utaondoka majamaa huwa hawana hata aibu

Mi nauza nguo Kariakoo bei ya jumla 13,000@Tshrt anakuja muhundi anauliza bei unamwambia jumla 13,000 anakwambia sawa Babaa, mitalipa moja fanyie mimi alfu kumi baba, unamwanbia bei ya jumla haishuki, na sio nguo moja haelewi anaenda kwingine

Mwingine kaja Dukani kiatu jumla cha ngozi 75000, anasema sawa kanichukulie store unamtuma kijana gorofa ya 8 anakileta anakitest alafu anageuka anasema mi talipa 60,000 babaa, yaani natamanigi kuwatandika makofi wale watu aisee hapana, Dukani kwangu akija Muhindi huwa masemaga tu hamna ili aondoke wengi ni tia maji tia maji,wale watu ni bahili sijawahi ona

Alafu Muhindi akienda kwenye biashara ya Muhindi mwenzake anakuwa na heshima akija kwa Mswahili ndio huwa wanaleta uhuni wale watu kaa mbali nao kabisa

Nashukuru sana watanzania wenzangu,Wacongo,Wazimbabwe Wamalawi aisee bila nyie tungefilisika
 
Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi

Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu bahili Duniani kuliko mtu yoyote yaani ukikaa mtaa wa wahindi utafunga biashara utaondoka majamaa huwa hawana hata aibu

Mi nauza nguo Kariakoo bei ya jumla 13,000@Tshrt anakuja muhundi anauliza bei unamwambia jumla 13,000 anakwambia sawa Babaa, mitalipa moja fanyie mimi alfu kumi baba, unamwanbia bei ya jumla haishuki, na sio nguo moja haelewi anaenda kwingine

Mwingine kaja Dukani kiatu jumla cha ngozi 75000, anasema sawa kanichukulie store unamtuma kijana gorofa ya 8 anakileta anakitest alafu anageuka anasema mi talipa 60,000 babaa, yaani natamanigi kuwatandika makofi wale watu aisee hapana, Dukani kwangu akija Muhindi huwa masemaga tu hamna ili aondoke wengi ni tia maji tia maji,wale watu ni bahili sijawahi ona

Alafu Muhindi akienda kwenye biashara ya Muhindi mwenzake anakuwa na heshima akija kwa Mswahili ndio huwa wanaleta uhuni wale watu kaa mbali nao kabisa

Nashukuru sana watanzania wenzangu,Wacongo,Wazimbabwe Wamalawi aisee bila nyie tungefilisika
Usishangae sana, ni tamaduni na mila za kihindi, zinawakataza kuwaweka watu wote sawa. Mila zao zinawaweka watu katika madaraja tofauti ya utu, heshima na utajiri.
Hivyo ukimwambia bei ya kitu fulani, yeye anaitafsiri kuwa inakwenda kukupa faida kubwa, hivyo utatajirika na kuheshimika wakati wewe ni mtu wa daraja la chini kabisa kwa mila zake. Hivyo atatafuta angle ya kukupunja tu ili usije ukafanikiwa. Kama ni biashara atataka umuuzie kwa bei ya hasara ili mwisho wa siku biashara yako ife na ubakie na dhiki.
 
Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi

Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu bahili Duniani kuliko mtu yoyote yaani ukikaa mtaa wa wahindi utafunga biashara utaondoka majamaa huwa hawana hata aibu

Mi nauza nguo Kariakoo bei ya jumla 13,000@Tshrt anakuja muhundi anauliza bei unamwambia jumla 13,000 anakwambia sawa Babaa, mitalipa moja fanyie mimi alfu kumi baba, unamwanbia bei ya jumla haishuki, na sio nguo moja haelewi anaenda kwingine

Mwingine kaja Dukani kiatu jumla cha ngozi 75000, anasema sawa kanichukulie store unamtuma kijana gorofa ya 8 anakileta anakitest alafu anageuka anasema mi talipa 60,000 babaa, yaani natamanigi kuwatandika makofi wale watu aisee hapana, Dukani kwangu akija Muhindi huwa masemaga tu hamna ili aondoke wengi ni tia maji tia maji,wale watu ni bahili sijawahi ona

Alafu Muhindi akienda kwenye biashara ya Muhindi mwenzake anakuwa na heshima akija kwa Mswahili ndio huwa wanaleta uhuni wale watu kaa mbali nao kabisa

Nashukuru sana watanzania wenzangu,Wacongo,Wazimbabwe Wamalawi aisee bila nyie tungefilisika
Pamoja na yote kwenye kasoro hapakosi faida, Hawa watu wapo vizuri sana kwenye kusimamia biashara, hata mtu anayeajiriwa pale analipwa kulingana na kiasi Cha pesa anachozalisha, kingine Hawa watu kwenye sekta nyeti za usimamizi wanajiajiri wenyewe mfano familia inasimamia biashara unakuta. CEO, managers, procurement officer n.k ni familia ila vibarua wadogo ndo sio familiaaa. Hata ndoa familia tajiri itaoa Kwa matajiri wenzao mmnh Hawa watuuu hapanaaa
 
  • Mhindi, Mchina ni jamii zilizopata mafanikio ya kiuchumi miongo michache sana iliyopita, bado wana chembechembe nyingi za umasikini.
  • Mtu mwenye ahueni kiuchumi - hata awe mbongo - hana maneno mengi, kujieleza sana, kusumbua wengine kwenye shughuli mbalimbali; hata zisizo za kiuchumi.
  • Mhindi, Mchina hata iwe ni site za ujenzi n.k ni pasua kichwa balaa - dalili mojawapo ya umasikini. Na ukifanya kazi kwao ni ngumu sana kufanikiwa.
  • Ni jamii ambazo, kimsingi, zimeibuka kiuchumi bila kunadi tamaduni zao vilivyo.
 
Back
Top Bottom