The ghost writer
Senior Member
- Apr 5, 2023
- 179
- 263
Yeah! Unakuta mtu analalamika maisha magumu, mambo yake hayaendi. Why? Kila mtu alipewa maisha ambayo ni juu yetu sisi kuyafanya yawe magumu au rahisi.
Maisha ni jinsi vile unavyofikiria kwenye akili yako ukiwa unafikiria ugumu wa maisha ndio hivo hivo maisha yako yatakuwa magumu kwa kadri unavyofikiria.
Unachotakiwa kupaswa kufanya ni kutokuwa seriously na haya maisha, jaribu kuwa na free mind and positive mind because life is too short to be discouraged you have to keep move, keep going, put the foots infront of other.
Just keep smile and keep rolling.
#Get_me_on_the_touch!
Maisha ni jinsi vile unavyofikiria kwenye akili yako ukiwa unafikiria ugumu wa maisha ndio hivo hivo maisha yako yatakuwa magumu kwa kadri unavyofikiria.
Unachotakiwa kupaswa kufanya ni kutokuwa seriously na haya maisha, jaribu kuwa na free mind and positive mind because life is too short to be discouraged you have to keep move, keep going, put the foots infront of other.
Just keep smile and keep rolling.
#Get_me_on_the_touch!