Ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo usilime

Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
Wewe unazungumzia kesi tofauti.
Kuna wanaotaka wao wawe na maeneo yao ya kumiliki kwa ajili yakilimo hao ndo nimewakusudia.

Na kuna ambao wao wanafanya biashara na wakulima ndo hao umewakusudia wewe.
 
Mkuu hebu fikiria kama unaanza utalimishaje?
Ukweli ni kwamba ukianza kwenye kilimo utapata pesa ya kula wewe na mazao ya kula wewe mwenyewe tu.

Mtu anayeanza hawezi kuanzisha mradi ungine kwa pesa inayotokana na kilimo. Yani mtu anayeanza apate pesa za mavuno alafu aseme ananunua bodaboda...? Hahahha haiwezekani.

Kwa sababu mtu anayeanza kilimo manake anaanza kipato. Anayeanza kilimo ataendelea kupata mazao na faida kwa ajili yake na kuishi mwenyewe tu, lakini hatokuwa na uwezo kutoa Mradi ungine kutokana na kilimooo
 
Nafikiri ungesema ili ufanikiwe kwenye kilimo inabidi ulime kilimo cha kisasa in large scale.
Hata ningesema hivyo basi angetokea mtu angenambia "nafikiri ungsesema ili ufamikiwe usilime bali limisha"

Sasa nadhani imekuwa vizuri kama umefahamu makusudio Mkuu....
 
Acha kukatisha watu tamaa mkuu kama we umeshindwa ni wewe tu mbona wapo wengi tu wamefanikiwa wana maisha safi kabisa nina mashaka we umekulia mjini hata jembe hujui kushika
 
Acha kukatisha watu tamaa mkuu kama we umeshindwa ni wewe tu mbona wapo wengi tu wamefanikiwa wana maisha safi kabisa nina mashaka we umekulia mjini hata jembe hujui kushika
Wekataa mkuu..

Mafanikio ninayoyazungumza nadhani imekuwa ngumu kuyaelewaa mkuu
 
Wengi wanaofeli wanalimisha. Wako mjini wanatuma hela watu wawalimie, kulimisha sio suluhisho.
Sasa kashamba ka heka moja ambacho ungeweza kulima mwenyewe unataka uajiri mtu akulimie unategemea nini mkuu??

Shamba dogo ni kwa ajili yakulima mwenyewe, na shamba kubwa ni kwa ajili ya kulimisha.

Wanaolimisha watu wana mikakati mzuri na wana maeneo ya kutosha na kuna usimamizi mzuri wa ulimishaji, mtu anakuwa siriaz kwenye ajira yake ya kulima shamba lako.
 
Sasa kashamba ka heka moja ambacho ungeweza kulima mwenyewe unataka uajiri mtu akulimie unategemea nini mkuu??

Shamba dogo ni kwa ajili yakulima mwenyewe, na shamba kubwa ni kwa ajili ya kulimisha.

Wanaolimisha watu wana mikakati mzuri na wana maeneo ya kutosha na kuna usimamizi mzuri wa ulimishaji, mtu anakuwa siriaz kwenye ajira yake ya kulima shamba lako.
Sawa.
 
Ukweli ni kwamba ukianza kwenye kilimo utapata pesa ya kula wewe na mazao ya kula wewe mwenyewe tu.

Mtu anayeanza hawezi kuanzisha mradi ungine kwa pesa inayotokana na kilimo. Yani mtu anayeanza apate pesa za mavuno alafu aseme ananunua bodaboda...? Hahahha haiwezekani.

Kwa sababu mtu anayeanza kilimo manake anaanza kipato. Anayeanza kilimo ataendelea kupata mazao na faida kwa ajili yake na kuishi mwenyewe tu, lakini hatokuwa na uwezo kutoa Mradi ungine kutokana na kilimooo
Nenda kule Mbarali kwenye kilimo cha mpunga ukujionee vijana wanavyopiga mabao kwa kuanza kulima ye mwenyewe na mwisho wa siku anakua boss.
 
Sasa mimi nasema hivi, ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, Usilime wala Kulimisha!
Wewe subiria wanaolima walime, wanaolimisha walimishe, wewe subiri mazao uyanunue. Tofauti na hapo ni ziro!
Mkuu nafita thread yangu naweka comment yako. Nimekubali kupindua mtazamo mana hata mwenyewe nafanya hii ishu.

Nanunua korosho, nanunua ufuta,naweza pata senti.. kuliko mwenye kashamba kake..
 
Back
Top Bottom