Rasmi nawekeza kwenye kilimo

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,448
Nafanya biashara za nafaka na mazao, Nina shamba na mifugo, nina duka na gari za mizigo, nimeajiriwa kama mwalimu wa serikali nk.

Nina ujuzi mkubwa Tu na experience ya miaka mingi kwenye Dunia ya pesa,Shughuli zote nilizotaja nimerithi kutoka kwa marehemu mzee Wangu kasoro ualimu. Nimefuatilia sana kazi zangu kuanzia 2017 Hadi Leo nimepata majibu niongeze mtaji shambani , ntaendelea na kilimo cha mpunga na viazi, ntaendelea na ufugaji wa n'gombe wa maziwa, karibu na wewe upande huu.

Nafyeka parachichi napanda nyasi za ngombe , nachana na ualimu soon to deni langu likisha mwakani, ntakopa Hadi mwisho ntaachana kabisa na ualimu KAZI ya ajabu hii, sitofuga nguruwe Wala kuku tena.
 
Nafanya biashara za nafaka na mazao, Nina shamba na mifugo, nina duka na gari za mizigo, nimeajiriwa kama mwalimu wa serikali nk.

Nina ujuzi mkubwa Tu na experience ya miaka mingi kwenye Dunia ya pesa,Shughuli zote nilizotaja nimerithi kutoka kwa marehemu mzee Wangu kasoro ualimu. Nimefuatilia sana kazi zangu kuanzia 2017 Hadi Leo nimepata majibu niongeze mtaji shambani , ntaendelea na kilimo cha mpunga na viazi, ntaendelea na ufugaji wa n'gombe wa maziwa, karibu na wewe upande huu.

Nafyeka parachichi napanda nyasi za ngombe , nachana na ualimu soon to deni langu likisha mwakani, ntakopa Hadi mwisho ntaachana kabisa na ualimu KAZI ya ajabu hii, sitofuga nguruwe Wala kuku tena.
Hizo shughuli unafanyia wap
 
Nafanya biashara za nafaka na mazao, Nina shamba na mifugo, nina duka na gari za mizigo, nimeajiriwa kama mwalimu wa serikali nk.

Nina ujuzi mkubwa Tu na experience ya miaka mingi kwenye Dunia ya pesa,Shughuli zote nilizotaja nimerithi kutoka kwa marehemu mzee Wangu kasoro ualimu. Nimefuatilia sana kazi zangu kuanzia 2017 Hadi Leo nimepata majibu niongeze mtaji shambani , ntaendelea na kilimo cha mpunga na viazi, ntaendelea na ufugaji wa n'gombe wa maziwa, karibu na wewe upande huu.

Nafyeka parachichi napanda nyasi za ngombe , nachana na ualimu soon to deni langu likisha mwakani, ntakopa Hadi mwisho ntaachana kabisa na ualimu KAZI ya ajabu hii, sitofuga nguruwe Wala kuku tena.
Kwa nini hutaki nguruwe na kuku tena?
 
Mkuu nafahamu mbarali ni wababe wa mpunga,vipi ng'ombe unafugia wapi njombe au mbarali? Unatumia mfumo gani katika ulishaji wa ng'ombe,na je unaweza kutupa faida ya hao ng'ombe zidi ya nguruwe yani mtaji,uendeshaji na return zake zilivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom