Sangamwalogesha
JF-Expert Member
- Mar 10, 2025
- 2,147
- 1,325
We mbwa koko nchi yake umeitoa wapi, ngeder pori wewe.Sa100 tuachie nchi yetu ikiwa salama kama ulivyoikuta
We mbwa koko nchi yake umeitoa wapi, ngeder pori wewe.Sa100 tuachie nchi yetu ikiwa salama kama ulivyoikuta
We unaona ht haya kuwa zombie hivyoNchi gani
Hiyo mliyoambiwa iliungana na TanganyikaNchi gani
Na asuse tu. Maaaninaaa zake.Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?
Nashangaa wanaombembeleza asisuse.
Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..
Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Ona mwingine huyu!Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?
Nashangaa wanaombembeleza asisuse.
Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..
Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Bado tu hujajua kunywa pombe ni dhambi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama ni kweli leo pombe zitaniua
Na angekufwaHATOGOMBEA
Nimmekuwa nikilisema hili tangu 2022 April
SawaHakuna mwenye nguvu kumzidi Amirijeshi Mkuu mwenyekiti wa CCM labda mama akubali tu lakini akiamua kutumia mkono wa Chuma kwenye chama wote tunaufyata
Tupeane location 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama ni kweli leo pombe zitaniua
Dah! Ila watu😁Mkuu uko wapi uje unifundishe kulewa tufe wote 😂😂
Mbwa koko mamakoo, kama imekuuma chomoa🙄We mbwa koko nchi yake umeitoa wapi, ngeder pori wewe.
..anao huo mkono wa chuma, au unasema tu vile mdomo unaweza kutamka..siku zote lugha ya vitisho ni ibilisi anasema sabb hiyo ndio silaha yake ya kwanza na rahisi kuitumia.Hakuna mwenye nguvu kumzidi Amirijeshi Mkuu mwenyekiti wa CCM labda mama akubali tu lakini akiamua kutumia mkono wa Chuma kwenye chama wote tunaufyata
Hata wewee umeingia kwenye mfumo?heshima yako itashuka sana baada ya ramli kufeli.Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?
Nashangaa wanaombembeleza asisuse.
Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..
Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Basi hapo umefurahi kwa ulichoandika🤣🤣🤣We mbwa koko nchi yake umeitoa wapi, ngeder pori wewe.