Ukisusa wenzio Twala. Wasalimie Jambiani

Ukisusa wenzio Twala. Wasalimie Jambiani

Hakuna mwenye nguvu kumzidi Amirijeshi Mkuu mwenyekiti wa CCM labda mama akubali tu lakini akiamua kutumia mkono wa Chuma kwenye chama wote tunaufyata
Hahaha.....inabidi tu sometimes kucheka. Binadamu ni wepesi wa kusahau sana.
 
Hakuna mwenye nguvu kumzidi Amirijeshi Mkuu mwenyekiti wa CCM labda mama akubali tu lakini akiamua kutumia mkono wa Chuma kwenye chama wote tunaufyata
"Power resides where men believes it resides."

Watu wakishakoma kuamini kuwa una nguvu, utabaki na title tuu
 
Watu tulikopa pesa wiki iliyoisha tukaenda kulewa kuamka kesho yake hangover, deni nilililokopa Jana yake alafu kumbe inshu yenyewe ilkua sio kweli yaan mnatutia hasara hamjui tuu
 
Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?

Nashangaa wanaombembeleza asisuse.

Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..

Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Nilistuka, nilifikiri chadema Sasa ndo inachukua inaenda ikulu. Kumbe Bado ni ccm🤣🤣🤣🤣🤣

Ama kwel hakuna mateso makubwa Dunia hii kama kuwa nyumbu.
 
Za ndaani na za chini chini nimesikia kuwa kumbe Shida ni Urais Mungu na Uenyekiti wa CCM ulivyo na unprecedented power, Wabunge wengi wa CCM na viongozi kutoka bara hawapendi suala la kutawaliwa na Rais kutoka Zanzibar, nchi yenye watu wasiofika milioni 2,.

Sasa inasemekana wanasubiri either litokee la kutokea Sasa hivi, au hata 2030 ambapo mzanzibari Samia atakuwa sio Rais Tena wa Tanzania ambapo ataingia Rais Mtanganyika basi bunge litabadili Sheria kuwa Tanzania isitawaliwe na Mtu Zanzibar , mana madhara ni makubwa na Chama kinapata wakati mgumu Kwa wananchi ambao wengi hawataki au hawapendi kutawaliwa na Rais kutoka Zanzibar.

Shida sio uongozi wa Samia labda ni Mbaya sana, ila Kitendo Cha Tanganyika kutawaliwa na Mzanzibari hiyo ndo shida, hata kama Samia angempa Kila mtanzania Bilioni moja bado watanganyika hawawezi mioyoni mwao kukubali mzanzibari.

Ni kama Labda tuseme itokee tu Nchimbi awe Rais wa Zanzibar ni kitu ambacho hakipo.

Kwa Hali ilivyo Samia ndo atakuwa Rais wa Mwisho kutawala kutoka Zanzibar. Na CCM ya Samia Haitaki Lissu agombee, mana akigombea uchaguzi hautakuwa CCM vs Wapinzani. Uchaguzi utakuwa ni Zanzibar VS Tanganyika, ambapo matokeo yatakuwa mabaya,

CCM hawawezi kufanya reform mgombea akiwa Samia Kwa sababu hatoweza kushinda, ila wakibadili Mgombea wanaweza kushinda. Nyingi Hamjui ilivyo tabu kumpenda mtoto wa Kambo kuliko mtoto uliemzaa wewe
 
Watu tulikopa pesa wiki iliyoisha tukaenda kulewa kuamka kesho yake hangover, deni nilililokopa Jana yake alafu kumbe inshu yenyewe ilkua sio kweli yaan mnatutia hasara hamjui tuu
Usijali ni suala la muda
 
Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?

Nashangaa wanaombembeleza asisuse.

Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..

Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Haachiwi mtu sufuria la ubwabwa
 
Za ndaani na za chini chini nimesikia kuwa kumbe Shida ni Urais Mungu na Uenyekiti wa CCM ulivyo na unprecedented power, Wabunge wengi wa CCM na viongozi kutoka bara hawapendi suala la kutawaliwa na Rais kutoka Zanzibar, nchi yenye watu wasiofika milioni 2,.

Sasa inasemekana wanasubiri either litokee la kutokea Sasa hivi, au hata 2030 ambapo mzanzibari Samia atakuwa sio Rais Tena wa Tanzania ambapo ataingia Rais Mtanganyika basi bunge litabadili Sheria kuwa Tanzania isitawaliwe na Mtu Zanzibar , mana madhara ni makubwa na Chama kinapata wakati mgumu Kwa wananchi ambao wengi hawataki au hawapendi kutawaliwa na Rais kutoka Zanzibar.

Shida sio uongozi wa Samia labda ni Mbaya sana, ila Kitendo Cha Tanganyika kutawaliwa na Mzanzibari hiyo ndo shida, hata kama Samia angempa Kila mtanzania Bilioni moja bado watanganyika hawawezi mioyoni mwao kukubali mzanzibari.

Ni kama Labda tuseme itokee tu Nchimbi awe Rais wa Zanzibar ni kitu ambacho hakipo.

Kwa Hali ilivyo Samia ndo atakuwa Rais wa Mwisho kutawala kutoka Zanzibar. Na CCM ya Samia Haitaki Lissu agombee, mana akigombea uchaguzi hautakuwa CCM vs Wapinzani. Uchaguzi utakuwa ni Zanzibar VS Tanganyika, ambapo matokeo yatakuwa mabaya,

CCM hawawezi kufanya reform mgombea akiwa Samia Kwa sababu hatoweza kushinda, ila wakibadili Mgombea wanaweza kushinda. Nyingi Hamjui ilivyo tabu kumpenda mtoto wa Kambo kuliko mtoto uliemzaa wewe

Kama hamwezi kutawaliwa na mzanzibari si mtupe nchi yetu mliyoiteka baada kutuvamia 1964 ??
 
Watu tulikopa pesa wiki iliyoisha tukaenda kulewa kuamka kesho yake hangover, deni nilililokopa Jana yake alafu kumbe inshu yenyewe ilkua sio kweli yaan mnatutia hasara hamjui tuu
🤣🤣🤣🤣 dah!
 
Sa100 tuachie nchi yetu ikiwa salama kama ulivyoikuta
 
Kwamba hawezi kulazimisha. "Nitamjibu nini Mwenyazi Mungu?

Nashangaa wanaombembeleza asisuse.

Tulishahada nasusahada(Ukisusa wenzio Twala)..

Ulivyotukututa ndivyo utatuacha. Kawasalimie Jambiani na Makunduchi
Mamako ana hasara, hv hujitambui km ni mwehu wewe? Unajizushia na kujitengenezea upuuzi usio na kichwa wala miguu unajisikiaje? Kwl watu mnaumwa. Sasa fukara km ww unahangaika na raia namba moja? Fanya mambo yako km ni we sukuma gang dogo subirini 2030 ila kwa mwendo huo wengi mtakuwa mmeshakufa.
 
HATOGOMBEA

Nimmekuwa nikilisema hili tangu 2022 April
 
Back
Top Bottom