duh mbona unawalaumu sanaTV Station pekee yenye "Mazungumzo Baada ya Habari" na "Matangazo ya Vifo". Na taarifa ya habari ina tarehe!!
Kama kuna station nyingine zenye haya tujuzane. La sivyo TBC tafadhali mjipime muende na tamaduni za TV Station zenye mafanikio
kuwa mzalendo kwa tv ya taifaIle picha iliyoko nyuma kwa juu wamepigilizia na misumari Ipo siku itakuja wadondokea tu
Unasumbuliwa na slavery mentality!! Wewe unataka wakopi na kupesti tu kwanini hao mabwana zako wasiige TBC1?TV Station pekee yenye "Mazungumzo Baada ya Habari" na "Matangazo ya Vifo". Na taarifa ya habari ina tarehe!!
Kama kuna station nyingine zenye haya tujuzane. La sivyo TBC tafadhali mjipime muende na tamaduni za TV Station zenye mafanikio
Ndiyo maana nikasema una slavery mentality!!Yangu mawazo ukiwa na mtazamo tofauti poa tu
Huwa nacheki taarifa yao ya habari
Hivi kwann haichangamki, imekaa kienyejienyeji.
Hivi kuna ubaya gani? Kumuajiri dogo mjuzi Wa mambo, mbunifu kama Millard.
Kama vijana wanachaguliwa kwenye siasa kwann huku kwenye kuliingizia Taifa fedha mkawatoa WAHENGA.
Nyumbani kwangu nimepiga marufuku watoto wasiangalie TBC,nimewapiga mkwara kuwa hairuhusiwi kuangaliwa na watu below 18!!Pole mkuu
Mimi siwezi, maana wapo too low
Akili zao wanazijuwa wenyewe