lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,607
- 2,064
Tusijadili ilikuwaje akaondoka, tujadili alipokuwepo ilikuwaje?Kwani Tido Mhando ilikuwaje akaondoka?
Au ilikuwa na muelekeo gani?
Tusijadili ilikuwaje akaondoka, tujadili alipokuwepo ilikuwaje?Kwani Tido Mhando ilikuwaje akaondoka?
Millard hana uwezo wa kuendesha taasisi kama hiyo. Infact ni uduni wa wanahabari wa Bongo tu lakini hana chochote cha kutisha. Walikuwa na Tido na wangekubali kumpa uhuru atumie ujuzi wake halafu waajiri watu wengine wenye ujuzi kama kina Hilary ingefika mbali.Hivi kwann haichangamki, imekaa kienyejienyeji.
Hivi kuna ubaya gani? Kumuajiri dogo mjuzi Wa mambo, mbunifu kama Millard.
Kama vijana wanachaguliwa kwenye siasa kwann huku kwenye kuliingizia Taifa fedha mkawatoa WAHENGA.
Millard ni mfano tu!Millard hana uwezo wa kuendesha taasisi kama hiyo. Infact ni uduni wa wanahabari wa Bongo tu lakini hana chochote cha kutisha. Walikuwa na Tido na wangekubali kumpa uhuru atumie ujuzi wake halafu waajiri watu wengine wenye ujuzi kama kina Hilary ingefika mbali.
Basi umetoa mfano mbaya! mfani siku zote huwa halisiMillard ni mfano tu!
Hoja ni wenye Uwezo.
Aliibadirisha sana, huwezi linganisha TBC ya leo na TVT.Tusijadili ilikuwaje akaondoka, tujadili alipokuwepo ilikuwaje?
Au ilikuwa na muelekeo gani?
Huo ni mtizamo wako wewe.hivi unajua kuna watu wanamtizamo WA chadema ni chama cha wachaga unalijua hilo?TV ya chama sio ya Taifa
Safi saaana Kwa hilo swali[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Unasumbuliwa na slavery mentality!! Wewe unataka wakopi na kupesti tu kwanini hao mabwana zako wasiige TBC1?
Anzisha yako km Mzee mengi ajili hao vijana unaowataka.iache TBC iwe kitaifa zaidi.Hivi kwann haichangamki, imekaa kienyejienyeji.
Hivi kuna ubaya gani? Kumuajiri dogo mjuzi Wa mambo, mbunifu kama Millard.
Kama vijana wanachaguliwa kwenye siasa kwann huku kwenye kuliingizia Taifa fedha mkawatoa WAHENGA.
Poa tu unashindwa kuamkia hata wakubwa zako nyumbani itakua TBC?Poa tu
Hipo siku utajua faida yake.halafu kuribikiwa Kwa watoto wako si Kwa akili ya TBC .kwani wewe umearibiwa na kua slave ni TBC?Nyumbani kwangu nimepiga marufuku watoto wasiangalie TBC,nimewapiga mkwara kuwa hairuhusiwi kuangaliwa na watu below 18!!
Nashukuru wameshazoea huwa hawaiangalii kabisa,NAMSHUKURU SANA MUNGU KWA HILI siwezi kuja kuwaharibu watoto wangu kizembekizembe.
Hivi kwann haichangamki, imekaa kienyejienyeji.
Hivi kuna ubaya gani? Kumuajiri dogo mjuzi Wa mambo, mbunifu kama Millard.
Kama vijana wanachaguliwa kwenye siasa kwann huku kwenye kuliingizia Taifa fedha mkawatoa WAHENGA.
Lengo kuwaboresha
Wanaume wa sasa hatusikilizi hoja za wanawake. Hiyo ilikua zamani. Sasa hivi tunaangalia sura kidogo na makalio zaidi. Hoja na tabia tunafundisha wenyewePicha na ndev zinahusiana vp na hoja?
Bye...