Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,119
- 49,492
Mwanamke hawezi milikiwa mara mbili baada ya kuolewa... Huu ni utamaduni wa asili tangu kuumbwa mwanadamu...
Lakini mwaume anaweza milikiwa mara mbili ama zaidi... Hii pia ni asili tangu kuumbwa mwanadamu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo huo siyo ubinafsi?
Sent using Jamii Forums mobile app