Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,040
- 71,277
Hapa nmepita kusoma koment tu
Kumfundisha mtu inahitaji kipaji, mm sina mkuuHahaha haikuwa rahisi, nmemtumia kama shamba darasa ndio maana nimeiva sasa. Ndoa sio rahisi, kwa niliyopitia nae heheheh we chagua mama moja uanze kuyanjenga! Utajifunza mengi sana
Well said, imekaa vizuri. ila hapo kwenye mshirikina ndo umechochora mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mara nyingi.. mara zoteMbio nyingi sana, huyo anatafuta pa kuangukia, ila wakati mwingine wanaume hatujui tunataka nini...
Kama anataka hivyo y? Msisaini postnuptial agreements nafikiri inaruhusiwa bongo au??lawyers pls assistKatika kupiga story na mwanamke/ Msichana ambaye una interest nae na ungependa in some days awe somebody/ Mrs. Akiwa na kauli hizi achana nae
" Nataka kuwa na kazi yangu, Niwe na biashara yangu niwe na maisha yangu nifanye vitu vyangu ninunue na kiwanja changu nijenge nyumba yangu"
Kaa mbali na huyo mwanamke. Huwa ni wabinafsi sana. Hutakaa ufurahie maisha nae.
Wakati ww unawaza uwe uwe na mke pia uwe na familia ufanye mambo kwa ajili ya familia, yeye anajiwazia yeye tuu.
"NEVER MARRY A SELFISH WOMAN"
Nafuu uoe mwanamke mshirikina
Siyakudumisa Thixo
Ngoja Nikumbuke huwa nawaambia nini wanawake. Ok huwa nawaambia nataka niwe na nyumba yangu,niwe na biashara yangu,niwe na gari yangu kabla ya kuoa...... inawezekana ndio maana wananikimbia?Katika kupiga story na mwanamke/ Msichana ambaye una interest nae na ungependa in some days awe somebody/ Mrs. Akiwa na kauli hizi achana nae
" Nataka kuwa na kazi yangu, Niwe na biashara yangu niwe na maisha yangu nifanye vitu vyangu ninunue na kiwanja changu nijenge nyumba yangu"
Kaa mbali na huyo mwanamke. Huwa ni wabinafsi sana. Hutakaa ufurahie maisha nae.
Wakati ww unawaza uwe uwe na mke pia uwe na familia ufanye mambo kwa ajili ya familia, yeye anajiwazia yeye tuu.
"NEVER MARRY A SELFISH WOMAN"
Nafuu uoe mwanamke mshirikina
Siyakudumisa Thixo
Aisee!Bwana wee mambo ya kusema sijui gari letu au kiwanja chetu ni mpaka hapo nitakapoolewa.
Siwezi kununua kiwanja au gari kabla sijaolewa nikasema letu. Letu na nani sasa? Huyo atakae acha kunioa kisa kanikuta niko na gari nasema langu au kiwanja nasema changu aniache tu kwakweli. Tukishaoana hapo sasa ndo kila kitu kitakuwa chetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah utapata tau sanaKumfundisha mtu inahitaji kipaji, mm sina mkuu
Siyakudumisa Thixo
Ungenisoma vyema mistari niliyoanza nayo, ungejua argument yangu ipo wapi, na kama ingekuwa completely kukupinga kama unavyotafsiri nisingezungumzia kuhusu upendo wala uvumilivu. Tatizo ni ku classify upendo na kupima uvumilivu. Ndio maana nikaja na maelezo hayo ambayo ulitakiwa huyaelewe word to word ndo ujibu na sio kunilisha maneno kiasi kwamba mi sijaelewa nilichokisoma na sijui nilichokiandika.Bro, kwanza niseme tu umepanic kwa kukwambia "hujui unachotaka kwa mwanamke"
Nadhani binadamu kwa ujumla ni mbinafsi
Ila tunatofautiana viwango
Mwanaume akioa anataka mke ammiliki peke yake na ayafuate matakwa yake!! Huo nao ni ubinafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa style hiyo.Teh teh teh
Kuombwa hela hamtaki
Tukitafuta zetu nazo hamtaki!!!
Eiish
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kuwa na mume wangu, na watoto wanguu!
Kwani Chupi ni asset au liability?Utani
Kwahiyo unataka huyo mwanamke aseme "ninunue dera letu, chupi zetu brazia zetu"
utani tu mkuu