Thread Starter
JF-Expert Member
- Mar 16, 2017
- 1,394
- 1,070
sawa mkuu..ntakutafuta nmekuelewa
sawa mkuu..ntakutafuta nmekuelewa
Oi kuna jamaa anauza Mia 310 unaweza kushuka nae ukitaka nakupa namba yake sema mm nipo sua moro jamaa yupo hapo town fundi computer sina njaa ya cha juu ushindwe ww.Sitafuti sinu kwa ajli ya spare .
So usije hapa unaimbie unayo sijuinimekufa nini , natafuta mtu anayeuza simu nzima .
Ahsante .
Bei yangu tuanze kudiscus from 400000/=
Isiwe white.
Nipe no. Yake please . Nitashukuru.Oi kuna jamaa anauza Mia 310 unaweza kushuka nae ukitaka nakupa namba yake sema mm nipo sua moro jamaa yupo hapo town fundi computer sina njaa ya cha juu ushindwe ww.
Kesho nikiota pindi nitapitia ofisini kwake maana no yake ilikua kwenye laini nyingine ambayo nimebadilisha juzi tu sema Sioni nilipoiweka sema usikonde mkuu.Nipe no. Yake please . Nitashukuru.
O712325225 mwambie # kanipa mdogo wako wa Sua ameniambia kuna cm unauza lia nae naamin ww mtt wa mjini ushindwe ww tuNipe no. Yake please . Nitashukuru.