daaah wee kama ulikuwepo siku naambiwa hayo maneno, afu alikuwa mdada, ilibaki kidogo tu ktk kujiongeza, nusu nipitilize, nilitaka kuomba mzigo, lkn sijui ilikuwaje sikuomba!eh!.. hii kazi tunaifanyaje?
Tunaanzaje?
Nakusikiliza
Kazi ilishaisha hii, bado wewe tu
tatizo lako nishalifanyia kazi, niangalie basi
Kuliona faili lako hadi ninywe maziwa, kuna vumbi sana
Hili si jukumu langu mimi nakubeba tu, bebeka basi
Hahaaaa mkuu ungechukua tu mzigo... ndo dawa yao, unapata kotekotedaaah wee kama ulikuwepo siku naambiwa hayo maneno, afu alikuwa mdada, ilibaki kidogo tu ktk kujiongeza, nusu nipitilize, nilitaka kuomba mzigo, lkn sijui ilikuwaje sikuomba!