kazurikazuri
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 237
- 70
Kwanza wew mwanaume ni mbinafsi sanasana...muhurumie mwenzio anachoka sana kwa kipindi hiki...hizo shughul fanya mwenyewe acha undez...na labda hapendi kuvaa braa koz maziwa yamekua makubwa kwa sasa koz ananyonyesha kama vip mnunulie nyingine kubwa na muda unaenda kuoga uwe unaenda oga nae...mtafutie housegirl amsaidie ili muda mwingi apumzike ata recover mapema na mtaendelea kuinjoi hapo badae kidog....na uache kufikiria kuchepuka