Ukishangaa ya Mussa

Eeeeeeeeelllliiiiiiimu niiiiiiiiiiiii uuuuuuuuuuufffuuuuuuuuuunnnnggggguuuuuuuuooo waaaaaaaaaaa maaaaaaiiiiiiisha

Ssshhhhhkaaaaaaaaa mooooooooooo mwaaaaaaaaaaaalllliiiiiiiiimu😂

kama ulisahau chaki ofisin unaeza enda kufata na kurudi bado vitoto vinakusalimia.
 
Sasa huko kujiendeleza kwenye vitu vya kijinga Kama ndo kunatupa sabuni,siye tufanyaje mama? Yaan najipendekeza sawa,lakini kujipendekeza kwangu hakukunyimi wewe mshahara,kwanini usiniache tu
Kinachokulalamisha ni nini sasa, walimu bhana, hamkuagi tu hata muwe na miaka 60, unakuta mtu ana zaidi ya miaka 45-55 lakini anadanganyika na Q-NET, kuna mwalimu kanifundisha mengi, ila aliliwa mil 5 na hao qnet mwaka 2021 😅😅😅ndo nikajua akili za mwalimu hazina akili, na huyo ni mwenyekiti wenu CWT mkoa kilaza namna hiyo! Hao wengine watakuwaje
 
Oke Oke vizuri,kwahiyo unakubali akili ya kilaza ndiyo iliyokufikisha hapo...au ulisoma na kuandika kwa juhudi zako.
Sawa,yeye katapeliwa kwako ni kilaza je wanaotapeliwa ni walimu tu...au umeandika tu kauli mbaya ili upate likes na kutuumiza...Vizuri ushindi uwe kwako cute😉
 
🤣🤣🤣🤣 Yaan hii kazi ni balaa🥴
 
Nina rafiki yangu nI mwalimu serikalini jana alikuwa anaenda shule Saa tatu ,nikamwambia mbona umechelewa job hivyo ,akanijibu "kwa kazi ipi haswa ,kazi yenyewe stress tupu Mishahara yenyewe zero" Nawahi nini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…