Ukishangaa ya Mussa

Adhabu,kwani Nani kasema kumfundisha mtoto lazima upige😳 huyu dada huyu mbona Kama ndo umeanza kuharibu
 
Tenda wema nenda zako.
 
πŸ˜’πŸ˜’πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ Heshima yako mkuu
 
Huu utundu unaonekana kila jila na msumbufu ulikuwemo😁
 
Watoto tutawaletea tu muwatoe ujinga kama mlivyotutoa sisi ila ukweli lazima tuwaambie, acheni kutumika kama backup mambo ya watu fulani yakikwama. Mbona wasiwaite watumishi wa TRA au TANESCO kuja kwenye mambo yao mnaitwa nyie?
 
Tatizo lenu hadi tunawachukia ni kitendo cha nyinyi kutumika na kupiga kolabo na wale.
 
Piga kazi mama msapu, achana na maneno ya waja.

Na mbona siku hizi wengi mmejanjaruka, wapo wenye vipato vizuri tu.

Ila tu kinachokera ni walimu kua na mabosi mia, kila boss anamkaripia mwalimu. Kune ile kipindi ati maticha walilambwa mboko alooo.
Na kingine umoja wa walimu ni changamoto, hamna umoja ilhali ni wengi sijui kwanini..

Hili kundi la walimu kwa wingi wao, linaweza kuleta mabadiliko chanya kwenye sekta ya elimu kama kutakua na sauti ya pamoja.

NB. Ualimu ni wito.
 
Walimu mkitaka muheshimiwe anzeni kufundisha namna ya kutafuta,kuheshimu na kuwekeza pesaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…