Ukishangaa ya Mussa!

Kwa mfano, unampiga Mbunge Risasi ktk makazi ya viongozi wa bunge la serikali halafu unategemea watu wasichukizwe.
Joka kuu Acha uongo na Propaganda chafu na hasi kama hii. Yaani unajiondoa ufahamu? Hivi nani huyo aliyemwona Hayat Raisi akimpiga Risasi Lissu?

Kama kweli mtu huyo ni katili kwa kiasi hicho mlichomwekea cha ukatili-yaani muuaji, mwenye hasira na Tundu lissu unafikiri angemuacha Lissu aanze kukumbatia Friji la Gari.? Hivi watu makini wangemkosa kummaliza Msaliti yule?
 
Lakini Dar sio Makao Makuu! Bado kipi huelewi
 
Tundu Lissu ni Mchungaji kama kina Zumaridi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hajui aandikalo...
 
Kama heheee heeiya la kuvunda na mbanio wake umeipata hio nyongo wakalia uchumi wa nchi hao.
 
Kama shule za kata tumezisikia toka Lowassa akiwa makamu wa rais..kwikwikwi!
Kwa hili tu mimi nimekuona una tatizo la kiufahamu.

Huyo Lowassa amewahi kuwa makamu wa Rais wa nchi gani kweli? Au ni Lowassa mwingine si huyu tunayemfahamu?
 
Inatia shaka..
Tatizo lenu ndio hili, hata mkiambiwa huyu ndiye Mkandara yule yule hamuwezi.amini kwa sabanu mmejenga imani za Walokole mnataka kusikia yale yanayo wapendeza na kuwapa tumaini.

Ukweli hamuutaki. Yalisemwa lakini - "Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawaelewi" sijui niwasaidiaje!
.
 
Kwa hili tu mimi nimekuona una tatizo la kiufahamu.

Huyo Lowassa amewahi kuwa makamu wa Rais wa nchi gani kweli? Au ni Lowassa mwingine si huyu tunayemfahamu?
Unatafuta kosa dogo wakati hoja unaielewa! Tatizo la shule za kata! Kwikwikwi..
 
Sawa mkuu..
Tulizoea kusoma mada zenye nguvu.
 
Sawa mkuu..
Tulizoea kusoma mada zenye nguvu.
Hahaha leo siku ya kwanza tu, tumeshafika page nne, unataka nini zaidi - Ukishangaa ya Mussa. Nimeamsha mzuka ulolala! Kila swali nimejibu hoja kwa hoja! Sema mnashindwa kumeza kama wale waumini wa Zumaridi hata uwambie nini. Na bahati mbaya sana mtu kama huyo yupo huru anadai kenda mpaka mbinguni kuonana na Mungu!. Media zote Inataka kuongea naye! Ndio habari ya mujini..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu Mkandara,
Sikuhizi umekuaje kujenga hoja inakupiga chenga sana...ndiyo wewe ulikuwa unaanzisha majadiliano na akina Zakumi na Nguruvi?

Au kuna sehemu imepata itilafu kichwani mwako? Shida ni nini?
 
Huyu ni Mkandara wa enzi zile? Au kuna Kinyago alikichonga kwa jina lake???
Mkuu nimeshangaa sana, naisi wengi wanashangaa sana kwa ndugu yetu huyu...kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri alife hospitalini kwa ajili ya vipimo...Kuna kitu hakipo sawa kwake.
 
Lakini Dar sio Makao Makuu! Bado kipi huelewi
Kwani unaandika bila ya kuwa na Mantiki? Dodoma imekuwa ni makao Makuu kwa sasa lakini sehemu ya Ikulu yake iko Dar. Dar si Makao Makuu (The Capital City) lakini kuna Ikulu ambayo ni sehemu ya Ikulu ya Chamwino.

Hoja hapa ni kwamba wakati Dodoma inatayarishwa kuwa Makao Makuu (Designated Capital City) sehemu mojawapo ya matayarisho hayo ilikuwa ni kujenga ikulu kwa ajili ya adhima hiyo. Na ikulu hiyo ikawa ni Chamwino. Kwa ivo Dodoma wakati ule haikuwa ni Makao Makuu lakini ilikuwa inatayarishwa kuwa Makao Makuu na Ikulu ya Chamwino ikawa ni sehemu ya Ikulu ya Dar.

Kwa ivo kusema kuwa Chamwino ilikuwa ni kama Ikulu ndogo za mikoani hilo siyo sawa. Na siyo Magufuli peke yake aliyefanya juhudi za kuifanya Dodoma kuwa Makao Makuu.

Ukianzisha mjadala uwe na kumbukumbu ya kinachojadiliwa. Hakuna asiyejua utofauti kati ya Ikulu na Makao Makuu ya nchi. Na hakuna Makao Makuu ya nchi bila ya kuwepo kwa Ikulu ya nchi kwenye mji wa Makao Makuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…