Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,913
- 6,523
CCM wangeweza vipi kuruhusu jambo kama hilo litokee?
Hiyo itakuwa ni kuwachezea masharubu wanajeshi ambao wamesema wana wasiwasi kidogo kuhusu watu fulani kushika madaraka ya juu katika nchi .
Immigration pia wamesema watu kama hao wenye uraia tata wanavumiliwa kidogo lakini lazima waache kujifaragua.
Hiyo itakuwa ni kuwachezea masharubu wanajeshi ambao wamesema wana wasiwasi kidogo kuhusu watu fulani kushika madaraka ya juu katika nchi .
Immigration pia wamesema watu kama hao wenye uraia tata wanavumiliwa kidogo lakini lazima waache kujifaragua.