Hivi mpaka mkeo anaamua kukuibia na kuzaa na mtu mwingine inakuwaje? maana tusing'anga'anie tu kujadili matokeo apa.....mpaka hilo linatokea unakuwa ulikuwa wapi? ina maana kuna sababu na nadhani ni vema ku deal na hizo sababu zinazopelekea tatizo hilo.....
Maanake tabia za ngono kwa wanaume haziwaumbui kwa sababu hawapati mimba...kama unaleta longolongo katika ndoaadhabu ni moja tu....ulee watoto wa jirani yako tehe tehe.....kuna watu wanatoa unyumba kwa wake zao kwa kipimo kwa sababu miguvu yote anaimalizia kwa hawara.....unategemea nini weewe mwanaume mwenye choyo?
mix with yours
mke ni
Maanake tabia za ngono kwa wanaume haziwaumbui kwa sababu hawapati mimba...kama unaleta longolongo katika ndoaadhabu ni moja tu....ulee watoto wa jirani yako tehe tehe.....kuna watu wanatoa unyumba kwa wake zao kwa kipimo kwa sababu miguvu yote anaimalizia kwa hawara.....unategemea nini weewe mwanaume mwenye choyo?
mix with yours
mke ni