Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,111
- 13,333
Bado nafas unayo unaweza kukimbilia dushe tukakupa pesaBinafsi ningeensa seminari na kuwa padri, maana nilizikimbilia papuchi kumbe hazina maana kabisa, sana sanan zinanimalizia ela zangu tuu
Bado nafas unayo unaweza kukimbilia dushe tukakupa pesaBinafsi ningeensa seminari na kuwa padri, maana nilizikimbilia papuchi kumbe hazina maana kabisa, sana sanan zinanimalizia ela zangu tuu
lita 2 nadhanihivi ngo'mbe wa kienyeji akilishwa vizuri anatoa maziwa lita ngapi kwa siku?
😂😂Tafuta chochote kitu ule kwanza.
mkuu kuzaliwa mbwa au dem bora nini?kuna reincarnation, jinyoge uzaliwe jibwa kwa Trump uko ufaidi maisha
Huu uzi haufai kuwa katika hili jukwaa.Mimi kwakweli ningetaka kwanza nirudi shuleni kuanza chekechea mpaka darasa la saba, nategea ikifika 2009 nakuwa Msanii najiita Diamond Platnumz natunga kamwambie ndio naanza nao maana si ndio uliomtoa sianzi na ile sijui jisachi, maana sitatoka ntapigika kitaa.
Ewe Mwenzangu na mimi niambie nawe Mawazo yako ukipewa hiyo nafasi karibu. Mnisamee hizi ni bangi za kuvuta bila kula
😂 😂 😂 😂 subiri mtoa mada aje ajibu aiseemkuu kuzaliwa mbwa au dem bora nini?
😂😂😂
Mimi kwakweli ningetaka kwanza nirudi shuleni kuanza chekechea mpaka darasa la saba, nategea ikifika 2009 nakuwa Msanii najiita Diamond Platnumz natunga kamwambie ndio naanza nao maana si ndio uliomtoa sianzi na ile sijui jisachi, maana sitatoka ntapigika kitaa.
Ewe Mwenzangu na mimi niambie nawe Mawazo yako ukipewa hiyo nafasi karibu. Mnisamee hizi ni bangi za kuvuta bila kula
Daaah ,ili uzaliwe pazuri inabidi ufanyeje....maana hii life ishanichoshakuna reincarnation, jinyoge uzaliwe jibwa kwa Trump uko ufaidi maisha
Kwahiyo unanishauri vip mtu Kama mm ninaesubiri results ya form six ili niende chuoNisingepoteza muda kusoma mpaka chuo. Ningesoma hata online dgree huku nikifanya michongo ya kitaa kutafta pesa
Nizaliwe mzungu wa Canada au Luxemburg niukane utanganyika mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee