Nenda mahenge kachukue mchele kg1000 kwa laki nane tafuta genge sehemu yenye mzunguko wa biashara lipa kodi 50 nauli yako na mzigo ni 100 utauza kwa bei ya 1300=1300000
kwambeya naingia polini kujumua maharage nayaleta mjini ndani ya mdamfupi nipo mbali
Mm nina kipaji cha kuimba sana mkuu, mimi nikipata hiyo naingia studio thenly after that ntaingiza faida mara 1000,
faida mara elfu?.....
Kwa mziki wa bongo huu... au mziki wa sebule la gheton kwenu?
Mkuu nimetumia lugha ya picha tu lakin faida itakayoingia ni kubwa zaidi. Just imagine show 1 laki 8 hadi M1. , sasa piga picha kwa show 10 (minimum) kwa mwezi ntakuwa naingiza kama M10, sasa hapo bado sijapata michongo ya matangazo ya makampuni ya kibiashara kama Tigo vodacom hivyo ni rahis sana kuingiza faida hasa ukizingatia nina nidhamu ya kutosha na si mtu wa anasa.
Kwa ushindani huu wa soko?
Mkuu nimetumia lugha ya picha tu lakin faida itakayoingia ni kubwa zaidi. Just imagine show 1 laki 8 hadi M1. , sasa piga picha kwa show 10 (minimum) kwa mwezi ntakuwa naingiza kama M10, sasa hapo bado sijapata michongo ya matangazo ya makampuni ya kibiashara kama Tigo vodacom hivyo ni rahis sana kuingiza faida hasa ukizingatia nina nidhamu ya kutosha na si mtu wa anasa.
Kwa ushindani huu wa soko?