Biashara ndogo ndogo - DAR (umachinga)

Mzawa KG

New Member
Feb 9, 2024
3
2
Habari wana JF.

Naombeni ushauri juu ya maeneo yenye wingi mkubwa wa watu kwa hapa Dar ambapo ninaweza kuweka biashara ya umachinga (urembo) ya mtaji wa milioni 2 na ikaenda vizuri.

Nimeplan kuuzia kwenye meza na sio kibandani.

Asanteni
 
Habari wana JF.

Naombeni ushauri juu ya maeneo yenye wingi mkubwa wa watu kwa hapa Dar ambapo ninaweza kuweka biashara ya umachinga (urembo) ya mtaji wa milioni 2 na ikaenda vizuri.

Nimeplan kuuzia kwenye meza na sio kibandani.

Asanteni
Mwenge mpakani na sokoni, ubungo stand
 
Back
Top Bottom