mkuu tuheshimiane, tusitafutiane ban bure...mambo ya kumtukana mtume wetu koma kabisa.....
mkuu tuheshimiane, tusitafutiane ban bure...mambo ya kumtukana mtume wetu koma kabisa.....
Hao ni wafuasi wa shetani sio wafuasi wa Yesu.Shetani ana wafuasi wengi.Siku zote anayetukana hana hoja.Ndio tabia za hawa ndugu zetu Wakristu kututukana na kutukana matukufu yetu.Halafu tunahubiri tupendane!!Tumejaa unafiki wakati nafsi zetu zinatoa laana.Mwenyezi Mungu Amsamehe maana hata huyo Yesu(amani iwe juu yake) hakutukana na aliishi kama sisi isipokua hakuwa na dhambi.Sasa ikiwa anayejiita mfuasi wa Yesu(amani iwe juu yake) anatukana wakati Yesu(amani iwe juu yake) hakutukana,basi huyo anamfuata nani???Na kutukana hakuondoi utukufu au utakatifu wa mtu bali tulishaambiwa"mtawajua kwa matendo yao"
mkuu tuheshimiane, tusitafutiane ban bure...mambo ya kumtukana mtume wetu koma kabisa.....
kha! Kumbe ni waislam? Hawana huruma.
mkuu tuheshimiane, tusitafutiane ban bure...mambo ya kumtukana mtume wetu koma kabisa.....
kwahiyo magaidi ni waislamu
Wanapigana Jihad: Sasa Nimeshtuka sana baada ya kukutana na haya Mafunzo ya Kiislamu na Jihad.
Wangekuwa hawana huruma angetoka mtoto pale?
Omba Mungu akusaidie. Mtume Petro aliukimbia mji wa roma kukwepa asiuawe pale kaisari Nero alipoamua kuangamiza wakristu. Njiani akakutana na mtu ambaye hakumfahamu mara moja ila akahisi atakuwa mkristu. Hivyo akamsihi asiuendee mji wa roma maana nero alikuwa akiwaangamiza wakristu. Yule mtu akamwambia 'Lazima niende ili nikasurubiwe tena'. Mara yule mtu akatoweka na fahamu zikamuijia tena Petro akatambua kuwa alikuwa amekutana na Bwana. Petro akapata nguvu mpya akarudi roma akawaambia wale watesi yuko tayari kuuwawa. Kwa vile walikuwa wanasulubiwa msalabani, yeye akaomba wamsulubishe kichwa chini miguu juu maana hakuona kama anastahili kusulubiwa kama Bwana wake, Yesu Kristu. Nilichotaka kusema hapa kuwa 'ushahidi' siyo jambo jepesi, hata Petro mwenyewe alishauogopa, ila kwa neema ya Mungu akajaliwa nguvu ya kuupokea.Mungu wetu mwema atuhurumie! Atusimamie na kutuonyesha nini cha kufanya na kusema wakati utakapofika! Ila sitaikana imani yangu ng'o!
Teh teh teh..! Halafu anaanza kuwatambia wenzake kuwa yeye kaliwa 0713 na Osama mwenyewe hivyo ni gaidi zaidi ya wale walioliwa 065 na akina Mullah na wengine wa chini chini.duuh hatari sana,hawa mashehe wao wanaowafundisha ugaidi wanatafuta mbinu za kugonga tigo za hao mujahideen wao kwa kutumia jina la allah lakini si ajabu iwapo mtu yuko tayari kufa ili kutekeleza jihad sembuse kuliwa tigo kwa dhumuni hilo hilo! inawezekana sana hata Osama bin laden alikuwa anakula sana tigo za hawa mujahideen kwa jina la allah! huu ugaidi ni uhalifu wa hali ya juu sana maana wanajihusisha na madawa ya kulevya, kulawitiana wenyewe kwa wenyewe halafu kuna mambumbumbu Fulani wanawashabikia wakidai wanatekeleza imani! imani potofu kabisa ya kutumia na kuuza madawa ya kulevya(wataleban), kulawitiana na upuuzi kama huo. Wote wanaoshabikia wana hamu ya kwenda kufumuliwa marinda na akina mullah, hawana lolote! Mbona wakristo huku afrika hawashabikii itikadi za ushoga zinazopigiwa debe na makanisa ya magharibi na badala yake makanisa ya afrika yanapinga kwa sauti kubwa lakini wenzetu kila jambo atakaloanzisha mwarabu wanalipokea na kulitetea kwa nguvu bila kupima kwa busara, mwarabu na mzungu si miungu!mbona wao mambo yetu wanayadharau na kuyaona ni ya kishenzi!
Huruma gani hiyo? Wangekuwa na huruma wangeua watu wasio na hatia? Huruma gani ya kuchagua watoto wakizungu tu.Wangekuwa hawana huruma angetoka mtoto pale?
mbona wameua watoto na watu wengine!? kigezo gani walitumia kuua wengine na kuwanusuru wengine? kwa maoni yangu hao waliopona ni kwa matakwa ya Mungu na wala si kwa huruma za hao madhalimu unaowatetea! kwa mitazamo yenu hii huwa inakuwa ngumu sana kutenganisha ugaidi na uislam maana kila maovu haya yanapotendeka huwa hatuoni waislam wengine wakipaza sauti au kuandamana kwa umoja kulaani jina la dini yao kutumiwa katika kufanya maovu! ila ikichorwa katuni ya mtume Mohamed n.k ndio utaona waislam wanalaani kwa sauti kubwa na kuingia mitaani kuandamana mitaani na kufanya vurugu!Tumewaona akina joseph kony na genge lake la LRA wakifanya maovu kwa jina la ukristo lakini wapi uliona wakristo wakishabikia genge hilo zaidi ya kuwalaani na kuwapinga! wakristo wanajua imani yao na imani ya mkristo haiyumbishwi na na mtu yoyote hata kama ni kiongozi wa dini, wakristo wanaongozwa na neno sio mtu! Hata leo hii atokee kiongozi wa juu wa kikristo ahamasishe wakristo kuua waislam hatofanikiwa lengo lake kwa kuwa ukristo hauongozwi na akili za binadamu au ibilisi bali na Roho Mtakatifu!
mi ningekuwepo ningekifanya muislam na kusema takbir alakbal nyingi ili wajuw mwenzao waniachie