Muke ya muarabu
Member
- Apr 5, 2012
- 83
- 23
Kama wamepona kwa matakwa ya Mungu basi uelewe kufa pia ni kwa matakwa ya Mungu.
Wakenya waanpoua kule Somalia? ni matakwa ya Mungu, Alshabaab wakilipiza kisasi, matakwa ya shetani, si ndio?
Tuwache ujinga, tuwe wa kweli. Vita ni vita hata iwe ya panzi kufa kutakuwepo. Kenya waondoke Somalia halafu tuone Wasomali wakija kuteka maduka mengine kama sisi hatujawa wa kwanza kwenda kuwasshambulia.
Muislaam hapigwi shavu la kushoto akakugeuzia na la kulia. Ukimlamba kofi na yeye anakulamba kofi, na la kulipiza huwa linauma zaidi.
Kumbuka waliokufa pale si Wakristo pekee, na Waislaam wamekufa na Wahindu na wengine hata hatujui dini zao. Hakuna anaeshinda katika vita. Kenya iondoke Somalia kama kweli ina nia ya haya mauaji yasiendelee.
wewe ngozi ya ------ unasema wakenya waondoke Somalia,wakati wasomali wapenda amani na serikali yao wanatamani hata majeshi ya mataifa mengne yaende yakawaokoe kutoka ktk ugaidi wa alshabab..Somalia vita haijaanza leo wala jana na haohao alshabab ndo wanaofanya mashambulizi kwa wasomali wenzao kbl hata wakenya hawajaamua kwenda kupambana nao baada ya kuona wanateka meli na raia wao mipakani..Sasa nakushangaa wewe kilaza unayejifanya una uchungu sana kuliko wasomali wenyewe