Ukipata mwanamke mwenye sifa hizi oa tu

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
535
1,747
Mim mwehu ndama kijana wa kitanzania napenda kuangazia sifa mujarabu ambazo nadhani bashauri ukikutana nazo Kwa binti wa kibongo hapo hapo chukua jiko jumlajumla na usimwache abadani.

1.*Mwenye bikira laini zote
hapa nilazima ukweli usemwe kuoa mwanamke asiye na bikra ni ubatili mtupu tena ni ulofa wakupindukia na nivizuri

2*Asiekuwa na urafiki na masingle mother
hawa masingo Maza ni tatizo sugu la jamii tena ni unguided missiles , hayachagui pakutua mara nyingi huwa yanataka yapate members wapya katika chama Chao cha usingo maza huku Kwa pamoja yakiendelea kufyatua watoto kama incubator.

3*Mwenye mkia wakutosha tena tepetepe(bubble butt)
hapa kuna utamu maradufu maana ukiwa bored unaweza kuamua kuwa unabonyeza kalio zake Tu huku ukijikongo nyoyo Kwa kuzitazama namna znavyoingia ndani nakujirudi mahala pake kama skonzi.

4.*Awe na rangi yake ya asili.

5*Asiwe na kitambi
mwanamke mwenye kitambi a.k.a kiriba tumbo ni mufilisi na ni ishara ya ulafi Huyu unaweza mpeleka restaurant ya maana akaagiza Samaki akamla hadi kichwa tena anakifyonza mpaka kinatoa mlio wa filimbi unaishia kupata aibu.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom