Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
"Ukiona unashangiliwa na adui, rudi nyuma
ujiulize umekosea wapi? na ukiona unasemwa
semwa na adui ujue umewatwanga." Rais JPM.
MY TAKE;
1. "Kikulacho ki nguoni mwako, na adui
mkubwa wa nchi hii unalala naye, unaamka
naye na unakwenda kumpokea rasmi
Dodoma". NOTE, adui mkubwa wa nchi hii ni
kile chama anachoenda kukabidhiwa.
2. Maadui wakuu wasaidizi wa nchi hii ni
Ujinga, Maradhi na Umasikini. Sijasikia
malalamiko ya mabwana hawa (Ujinga,
Maradhi na Umasikini) kwamba
wanatwangwa sana. Sijui hadi sasa Rais
anaongelea maadui wepi?
3. Na kama anamanisha maadui ni wapinzani
asisahau kua upinzani huo ni zao la katiba
hivyo kwa maana nyingine katiba na sheria
za jamhuri ndio iliyoweka adui huyo.
4. Na kama kwake upinzani (uliopo kisheria)
ni uadui basi atakua ni hatari sana kwa
kiongozi huyu kwa msatakabali wa
democrasia (uadui kwa mtazamo wake) hapa
nchini.
Just wait and watch the show my dear brother
and Mr. President.
Mtatiro J
ujiulize umekosea wapi? na ukiona unasemwa
semwa na adui ujue umewatwanga." Rais JPM.
MY TAKE;
1. "Kikulacho ki nguoni mwako, na adui
mkubwa wa nchi hii unalala naye, unaamka
naye na unakwenda kumpokea rasmi
Dodoma". NOTE, adui mkubwa wa nchi hii ni
kile chama anachoenda kukabidhiwa.
2. Maadui wakuu wasaidizi wa nchi hii ni
Ujinga, Maradhi na Umasikini. Sijasikia
malalamiko ya mabwana hawa (Ujinga,
Maradhi na Umasikini) kwamba
wanatwangwa sana. Sijui hadi sasa Rais
anaongelea maadui wepi?
3. Na kama anamanisha maadui ni wapinzani
asisahau kua upinzani huo ni zao la katiba
hivyo kwa maana nyingine katiba na sheria
za jamhuri ndio iliyoweka adui huyo.
4. Na kama kwake upinzani (uliopo kisheria)
ni uadui basi atakua ni hatari sana kwa
kiongozi huyu kwa msatakabali wa
democrasia (uadui kwa mtazamo wake) hapa
nchini.
Just wait and watch the show my dear brother
and Mr. President.
Mtatiro J