Ukoje muunganiko wako hapo mkiwa pamoja? Kama upo na mke wako na hakuna story za hapa na pale elewa kuwa kuna tatizo mahala.
Yaani wewe ndo umemaliza. Wengine nitawarejesha comment hii.Kuna ukweli hapa, hata nyumbani huwa hawaongei zaidi ya kutokana taarifa fupi fupi na maagizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameen.Mim wazazi wang wanapga story sana wakiwa ndan ya gar au wakitembea ni story tu mwanzo mwisho mpaka raha yan naomba Mungu anipe ndoa ya hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app
NDOA 9! Ndani ya kipindi gani? Anyway, ni KWELI ndoa nyingi hazina furaha(na sababu ni nyingi pia), ingawa mfano uliotumia kuhalalisha utafiti wako HAUTOSHI.Mbona Neno Dunia lina herufi 3 ila kuna utitiri Wa Mambo humu duniani...
Dunia INA wizi,fitina,husuda, kwenye roho nzuri,wanyam,misitu,binaadamu,Makinikia , Pyongyang, Na wewe pia. Ulitaka jina la dunia liwe la paragraph milioni 90000..
Huo ndio ukweli ndoa nyingi za kibongo hazina furaha, Nimewahi kufanya kazi Ustawi Wa jamii na kukutana na familia kama 9 hivi Mke na Mme hawaongei zaidi ya miaka mitano... Narudi tena Mke na Mme hawaongei zaidi ya Miaka mitano ...
Unaweza usiamini ila siku moja nenda ofisi yoyote ya Ustawi Wa jamii ndio utajua mleta mada anamaanisha nini.
Sent From My Nokia Ya Tochi
pointSasa watazungumzaje na wakati wewe uliyepewa lifti upo unawaskiliza?
Believe me, ukishuka ndani ya gari tu wao wataendelea na maongezi yao kama kawaida...
Hadi oil tunapimwa kwenye foleni
Duuh....nimekuelewa mkuuYou can't summarise someone's life with 3 paragraphs boss. Shame!!
Kweli mkuu na hii ndo sababu watu tunatakiwa tujifunze kwamba ukiona jirani yako kakupita bila kukupa lift usilalamike maana wakati mwingine huwa tunawaletea giza kwenye mazungumzo yaoSasa watazungumzaje na wakati wewe uliyepewa lifti upo unawaskiliza?
Believe me, ukishuka ndani ya gari tu wao wataendelea na maongezi yao kama kawaida...