Na kama ni wanandoa ukiwaona wanacheka na kutabasamu ujue kuwa watakuwa wamempokea Yesu kama bwana na mwokozi wao...Endapo utawaona Mwanamume na Mwanamke wako ndani ya gari wawili tu wanaenda kazini mathalan. Au wanatembea kwa miguu pamoja na hakuna mazungumzo kati yao. Na ukiwaangalia nyuso zao hakuna mwenye furaha. Au bashasha, tabasamu. Elewa kuwa ni mume na mke (wanandoa) hao.
Na ukiona Mwanamume na Mwanamke wako ndani ya gari wawili tu wanaoenda kazini, au ukute wanatembea pamoja na kuna mazungumzo yenye kuashiria furaha, bashasha, tabasamu. Fahamu kuwa ni mpango kando. Si watu ambao wameoana yaani sio (wanandoa.)
Hapo unajiuliza ni kwanini furaha ikosekane kwa wanandoa, halafu ipatikane kwenye mpango kando? Yamkini kuna shida mahala si bure.
Nawasilisha
Pricisely!!!You can't summarise someone's life with 3 paragraphs boss. Shame!!
ni kweli, unakuta unmemoa mtu lifty, sasa sujui utazungumza nae niniTena ukute kwenye foleni inayotembea...
Wengine wanapewaga lift tu..ss story upige nae za nn..
Oil inapimwa na mikono miwili?Kah! Kwa hiyo unaachia usukani ili upimwe oil? Itabidi zuio la magari yenye tinted lirudishwe mara moja!
DuHadi oil tunapimwa kwenye foleni
Au pengine tushaongea mengi tu home, au kabla ya kukutana na mtoa madamkuu umeambiwa wanandoa wantakiwa kuongea muda wote na kucheka cheka tu kwenye gari?
hujajiongeza labda wanasikiliza kitu muhimu kwenye redio..
wewe umekutana nao barabarani tena kwa bahati mbaya unajuaje kama walikuwa hawajacheka au kuongea ...
kabisa mkuuAu pengine tushaongea mengi tu home, au kabla ya kukutana na mtoa mada
Hii haina ukweli,Nikiwa na mke wangu tunaongea na kucheka bila shiida,Akianza kuleta stori zake za kuchekeshachekesha mimi nakuwa mchombezaji, zingine ananitaniatania basi tunacheka na kufurai maisha yanaenda, hakuna stress.Endapo utawaona mwanamume na mwanamke wako ndani ya gari wawili tu wanaenda kazini mathalan. Au wanatembea kwa miguu pamoja na hakuna mazungumzo kati yao. Na ukiwaangalia nyuso zao hakuna mwenye furaha. Au bashasha, tabasamu. Elewa kuwa ni mume na mke (wanandoa) hao.
Na ukiona mwanamume na mwanamke wako ndani ya gari wawili tu wanaoenda kazini, au ukute wanatembea pamoja na kuna mazungumzo yenye kuashiria furaha, bashasha, tabasamu. Fahamu kuwa ni mpango kando. Si watu ambao wameoana yaani sio (wanandoa.)
Hapo unajiuliza ni kwanini furaha ikosekane kwa wanandoa, halafu ipatikane kwenye mpango kando? Yamkini kuna shida mahala si bure.
Nawasilisha
Asante..!Tafiti huwa na uhalisia kwa % inawezakana wapo kwa sababu kuna nyumba zingine zina migogoro ya ndani kwa ndani mtu anaumia lakini kwa kuwa aliapa mpaka kifo kitengenishe hana jinsi na wengine kougopa aibu mbele ya jamii kwani watazikumbuka zile mbwembwe za ukumbini na hawataamini kama ndiye mhusika anafanya upuuzi,mfano watu wamenyimana chakula cha usiku unategemea asubuhi watashikana mikono,mtoa thread yupo sahihi nampa 75% kwa sababu migogoro ipo ktk ndoa.
Zeze muhimu, mkono mmoja chini mwingine kifuani... HahaaOil inapimwa na mikono miwili?
Sasa watazungumzaje na wakati wewe uliyepewa lifti upo unawaskiliza?
Believe me, ukishuka ndani ya gari tu wao wataendelea na maongezi yao kama kawaida...
Ninyi ndio vyanzo vya ajali kwenye foleni za magari, badala ya ku-concentrate kwenye udereva, unakuwa busy kutazama watu kwenye magari yao!!Kwangu haiko hivyo mkuu. Fuatilia hata kwenye foleni za barabarani utaleta mwenyewe mrejesho.
Na pengine ukute kila mmoja anaamua kuchat na simu yake