Angalia isije ikawa wajisema mwenyewe?
Kuna tatizo kubwa la vijana wa Chadema nadhani tokea wamekosa kiongozi. Sina shida na Patrobas ila nadhani Heche aliweza zaidi kuwasimamia vijana wenzake. Huu uropokaji uropokaji usio na lazima unaifanya taasisi nzima kuonekana kama kituko. Sasa baada ya facts kuhusu mkutano mkubwa wa taasis za mahakama kufanyika hapa nchini na jaji mkuu akiwa mwenyeji sasa huu ujinga wanauweka wapi?