Ukiona Jaji mkuu anafanya press conference ujue hakuna muhimili wa mahakama, ushawekwa mfukoni na mtu

Angalia isije ikawa wajisema mwenyewe?
Kuna tatizo kubwa la vijana wa Chadema nadhani tokea wamekosa kiongozi. Sina shida na Patrobas ila nadhani Heche aliweza zaidi kuwasimamia vijana wenzake. Huu uropokaji uropokaji usio na lazima unaifanya taasisi nzima kuonekana kama kituko. Sasa baada ya facts kuhusu mkutano mkubwa wa taasis za mahakama kufanyika hapa nchini na jaji mkuu akiwa mwenyeji sasa huu ujinga wanauweka wapi?
 
Hivi Jaji Mkuu si ndiyo Attorney General?

Kama jibu ni ndiyo, soma hii: WATCH: Attorney General Jeff Sessions Press Conference Addressing White House Leaks LIVE STREAM | Mediaite

Na Chief Justice siyo Jaji Mkuu, Uingereza wana utaratibu kila mwaka Chief Just anafanya Press Conference.

Hivi kwanini mnapenda kujaza watu ujinga wenu bila kufanya japo search tu ya Google?

Hakika kwa watu sampuli yako Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Wanacholalamikia ni JAJI kachagua waPELEZI
ikiwa Kazi yake haihusiani na mambo hayo!
 
Wanasiasa na watu kwenye social media ndio walioanza kulalama kwanini chombo hiki hakitoi tamko lolote kukemea matukio yanayotkea hivi sasa ya uhalifu, sasa mlitaka wafanyeje zaidi ya kutoa hiyo elimu!
Kwanini mnataka kulazimisha kila mtu awe kwenye upande wenu wa kuishutumu selikali kwenye kila jambo badala ya kuruhusu mawazo huru?
uJAJI
unahusiana nini na aina ya wapelelezi gani wanafaa kuchunguza Acheni kutetea upumbavu
 
Maudhui ya mjadala huu unayajua au unachanja mbuga tu kama zuzu?

Malisa alitaka kutuaminisha kwamba CJ kufanya press conference ni kituko ambacho kimetokea Tanzania tu tangu kuunbwa kwa Dunia, na nyie vjana wa Ufipa bla kufikiri wote mmeunga mkono 100%.

Ikiwekwa hoja mezani fikiria kidogo kabla ya kuchangia mawazo yako.


Vizuri, lakini point of correction....

Kwanza, mimi siyo kijana "mfipa" ama wa "ufipa" kama wewe ulivyo wa LumumbaBombadier...

Mimi niko zangu Shinyanga mkubwa na hata Rukwa kwa wafipa sijawahi fika.

Pili, Maudhui ya hoja ya Malija CJ si kushangaa CDF na CJ kuitisha PC na kuzungumza (hakuna kosa ktk hili and they can do hata mara 100 kwa siku!!) .

Ishu hapa na maudhui ya hoja ya mleta hoja ni kuwa, si kawaida kwa hawa watu kwa nyadhifa na majukumu yao kuitisha PC na kuanza kuzungumzia mambo ambayo kwa mujibu wa mgawanyo wa majukumu si ya kwao...

Jaji mkuu unaitisha PC unaanza kuzungumzia ishu za upelelezi wa kesi ama jambo fulani utafanyika na mahakama itakuja kuamua, kweli nyie mnaona ni kawaida tu???

Ni frustrations au ugonjwa wa namna gani wanaugua viongozi wa awamu hii??

Aaah, jamani let's all be sincere about this na tukubali kwamba kuna kitu hakiko sawa hapa....
 
Wengine Duniani wakifanya press conference wanasifiwa kwa maneno ya kila aina. Wa kwetu akitoka hadharani kufafanua masuala ya msingi yanayoihisu nchi yetu, tunapiga kelele! Ubinadamu ni kazi kwelikweli!
Ameongelea kinachohusu muhimili wake au katoka nje na hapo? Hili ndo linatupa shida wengi sana. Na ana bahati sana kaongea wakati Lisu yupo kitandani, lakini angemchagulia jina huyu. Mm hata nikisoma vipi sitakaa niwe profesa. Hivi jaji mkuu wa kule kenya ni profesa? Kama siyo profesa basi ndo maana anafanya vile lakn kama ni profesa basi yuko tofauti na maprofesa wengi ambao ni viongozi.
 
Vizuri, lakini point of correction....

Kwanza, mimi siyo kijana "mfipa" ama wa "ufipa" kama wewe ulivyo wa LumumbaBombadier...

Mimi niko zangu Shinyanga mkubwa na hata Rukwa kwa wafipa sijawahi fika.

Pili, Maudhui ya hoja ya Malija CJ si kushangaa CDF na CJ kuitisha PC na kuzungumza (hakuna kosa ktk hili and they can do hata mara 100 kwa siku!!) .

Ishu hapa na maudhui ya hoja ya mleta hoja ni kuwa, si kawaida kwa hawa watu kwa nyadhifa na majukumu yao kuitisha PC na kuanza kuzungumzia mambo ambayo kwa mujibu wa mgawanyo wa majukumu si ya kwao...

Jaji mkuu unaitisha PC unaanza kuzungumzia ishu za upelelezi wa kesi ama jambo fulani utafanyika na mahakama itakuja kuamua, kweli nyie mnaona ni kawaida tu???

Ni frustrations au ugonjwa wa namna gani wanaugua viongozi wa awamu hii??

Aaah, jamani let's all be sincere about this...
Basi hatupo kwenye boat moja. Rudi kwenye andiko la Malisa ndo uje tuongee. Nadhani hapo Shy kuna mtaa wa Ufipa pia ndo unapokaa. Mradi kasema Malisa au Yeriko ww ni kushabikia tu! Tumia na zako kidogo!
 
Basi hatupo kwenye boat moja. Rudi kwenye andiko la Malisa ndo uje tuongee. Nadhani hapo Shy kuna mtaa wa Ufipa pia ndo unapokaa. Mradi kasema Malisa au Yeriko ww ni kushabikia tu! Tumia na zako kidogo!

Tutakuwaje kwenye boat moja wakati wewe ni kushangilia kila kitu bila kutumia na akili zako kujiongeza na kujiuliza maswali kabla ya kumeza kila kitokacho kwa watawala?

Kwa hilo ndugu, ni vyema na haki uende zako kwa boat yako na mimi nitapanda ya kwangu....

Else, SMG na AK47 haziwezi kutumika kukabiliana na hoja badala ya hoja kwa hoja...

Najua mpaka hapa, nitakuwa nimekuacha.... huelewi nini maana yangu...!!

Kwa heri, safiri salama na boat yako....
 
Tutakuwaje kwenye boat moja wakati wewe ni kushangilia kila kitu bila kutumia na akili zako kujiongeza na kujiuliza maswali kabla ya kumeza kila kitokacho kwa watawala?

Kwa hilo ndugu, ni vyema na haki uende zako kwa boat yako na mimi nitapanda ya kwangu....

Else, SMG na AK47 haziwezi kutumika kukabiliana na hoja badala ya hoja kwa hoja...

Najua mpaka hapa, nitakuwa nimekuacha.... huelewi nini maana yangu...!!

Kwa heri, safiri salama na boat yako....
Ni kweli kabisa hatuwezi kusafiri pamoja, wewe endelea na mtaa wako wa Ufipa!
 
Hii nchi ya ajabu maana hata mkuu wa majeshi nae anafanya press conference
 
Nimependa hiyo TWAWALA! Na wanatula kweli; maana ardhini wametuachia mashimo tu; wanyama wetu nao wamewauza wazima wazima!
 
Kwa mara ya kwanza tangu mhimili wa mahakama uanzishwe duniani, leo Jaji Mkuu wa TZ kafanya Press Conference kujibu mijadala inayoendelea katika jamii. Mahakama imeacha kazi yake ya kusimamia sheria imeanza kujibizana na watu. Haijawahi kutokea popote duniani. Na sababu ni kwamba mahakama kwa "nature" yake haina jambo lolote la kuargue na umma. HALIPO.!

Mahakama kama mhimili wa dola unaojitegemea haubishani, haujawahi kubishana na hautakaa ubishane na umma kwa jambo lolote lile. Ndio maana hata mahakama ikituhumiwa huwezi kuona inafanya press conference kujibu. Duniani popote mahakama haijibizani na watu.

Katika kitabu Practitioner’s Guide to the Federal Circuit, kilichoandikwa na Melissa M.Devine anasema "Ukiona nchi yoyote ambayo mahakama imeanza kujibizana na umma (public), basi elewa kwamba nchi hiyo haina tena mhimili uitwao mahakama".

Kwa maelezo ya Mellisa inaonekana Tanzania tunakaribia kufikia stage hiyo (ya kukosa mhimili uitwao mahakama). So sad.!!

Malisa GJ
mkuu malisa. sisi kwenye taaluma yetu tu codes of conduct ni "marufuku kujitangaza" kwamba kazi yako ni matangazo tosha.

sasa ukiona CDF na Jaji mkuu wanashindana press conference maana yake kazi zao hazijipambanui mbele ya public. inabidi waje kuzitetea
 
Cdf,cj,igp,ag,mkuu wa tiss,mawaziri na ma rc,dc
Wote wako Kwa ajili ya chichiem

OvA
 
Hivi huyo hakimu sijui jaji aliongea kwa kutumia kifungu gani cha sheria?? Maana jaji hawezi kuongeaongea tu kama mlevi ndio maana mahali pakuongelea ni mahakamani na siyo mitaani
Mkuu Pascal Mayalla samahani kwa usumbufu..
Hivi huyu Jaji Mkuu ulieshangilia wakati ule kwa kusema sasa Tanzania imepata Jaji Mkuu ndie huyu??

Wapi umewahi kusikia Hakimu sembuse Jaji tena Jaji Mkuu akizungumzia aina ya wapelelezi wa kuchunguza kesi wawe wa namna fulani?! ( kesi ya Lissu lazima itachunguzwa na wapelelezi wa ndani kwasababu ndio wenye uwezo wa kukusanya ushahidi..!!)

Anachokitaka Jaji kwa kesi yoyote iliyo mbele yake ni kitu kimoja tu.. USHAHIDI MADHUBUTI, basi.

Lakini Jaji Mkuu wetu anataka mpaka na aina fulani ya wapelelezi wa kukusanya ushahidi.

Honestly kama Nchi tumepata HASARA kubwa kwa Mhimili wa Mahakama ambao kuna kila dalili sasa unawekwa mfukoni na watawala!

Aibu kubwa kwa Mahakama ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom