Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa mara ya kwanza tangu mhimili wa mahakama uanzishwe duniani, leo Jaji Mkuu wa TZ kafanya Press Conference kujibu mijadala inayoendelea katika jamii. Mahakama imeacha kazi yake ya kusimamia sheria imeanza kujibizana na watu. Haijawahi kutokea popote duniani. Na sababu ni kwamba mahakama kwa "nature" yake haina jambo lolote la kuargue na umma. HALIPO.!
Mahakama kama mhimili wa dola unaojitegemea haubishani, haujawahi kubishana na hautakaa ubishane na umma kwa jambo lolote lile. Ndio maana hata mahakama ikituhumiwa huwezi kuona inafanya press conference kujibu. Duniani popote mahakama haijibizani na watu.
Katika kitabu Practitioner’s Guide to the Federal Circuit, kilichoandikwa na Melissa M.Devine anasema "Ukiona nchi yoyote ambayo mahakama imeanza kujibizana na umma (public), basi elewa kwamba nchi hiyo haina tena mhimili uitwao mahakama".
Kwa maelezo ya Mellisa inaonekana Tanzania tunakaribia kufikia stage hiyo (ya kukosa mhimili uitwao mahakama). So sad.!!
Malisa GJ
Mahakama kama mhimili wa dola unaojitegemea haubishani, haujawahi kubishana na hautakaa ubishane na umma kwa jambo lolote lile. Ndio maana hata mahakama ikituhumiwa huwezi kuona inafanya press conference kujibu. Duniani popote mahakama haijibizani na watu.
Katika kitabu Practitioner’s Guide to the Federal Circuit, kilichoandikwa na Melissa M.Devine anasema "Ukiona nchi yoyote ambayo mahakama imeanza kujibizana na umma (public), basi elewa kwamba nchi hiyo haina tena mhimili uitwao mahakama".
Kwa maelezo ya Mellisa inaonekana Tanzania tunakaribia kufikia stage hiyo (ya kukosa mhimili uitwao mahakama). So sad.!!
Malisa GJ