K Konaball JF-Expert Member Mar 11, 2009 2,949 1,940 Sep 21, 2012 #1 dada wa kizungu baada ya kuolewa na mume mzaramo anasonga ugali wa muhogo wazaramo nooma ahh!!!! Attachments ugali.jpg 22.9 KB · Views: 385
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Sep 21, 2012 #2 Huyo ni mama ntilie kama sikosei.
andate JF-Expert Member Jun 9, 2011 2,651 1,006 Sep 21, 2012 #3 anatumia moto wa aina gani? naona sufuria kaibana na miguu.
deni JF-Expert Member Aug 7, 2011 255 186 Sep 22, 2012 #4 hapa naona anazuga tu. Kitu kishaepuliwa anafanya kupakua tu.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Sep 23, 2012 #6 kwenye mapishi makuu ni wabaridi sana hawa
Ab-Titchaz JF-Expert Member Jan 30, 2008 14,631 4,225 Sep 23, 2012 #7 Konaball said: dada wa kizungu baada ya kuolewa na mume mzaramo anasonga ugali wa muhogo wazaramo nooma ahh!!!! Click to expand... Jamani mbona hamna moto hapo?...aahh!!!
Konaball said: dada wa kizungu baada ya kuolewa na mume mzaramo anasonga ugali wa muhogo wazaramo nooma ahh!!!! Click to expand... Jamani mbona hamna moto hapo?...aahh!!!
Las Mas Bobos JF-Expert Member Jun 15, 2012 991 326 Sep 23, 2012 #9 Huyo anaandaa chakula cha mbwa wala hapiki hapo.
Mselema Member Sep 23, 2012 14 1 Sep 23, 2012 #10 huyo ni mwezetu ila kajichubua tu , unashangaa nini?
platozoom JF-Expert Member Jan 24, 2012 9,366 11,156 Sep 23, 2012 #11 Ab-Titchaz said: Jamani mbona hamna moto hapo?...aahh!!! Click to expand... Ugali wa mhogo unapopika si muda wote unatakiwa kuwa kwenye moto..........unaipua kidogo na kusongea chini
Ab-Titchaz said: Jamani mbona hamna moto hapo?...aahh!!! Click to expand... Ugali wa mhogo unapopika si muda wote unatakiwa kuwa kwenye moto..........unaipua kidogo na kusongea chini
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,658 Sep 23, 2012 #12 Ni mbongo huyo sema carolight @ work