Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Utapata tabu sana
Haki ya nani nilikuwa natafuta wife wa kuoa, bibie umeolewa? Maana umeonyesha uelewa na umakini katika malezi ya mtoto,Huu ndio ujinga wa kukemea!...baada ya kutoa elimu kwa watoto juu ya afya ya uzazi na makuzi yao, tunaleta upuuzi wa mtoto kuogopa mimba!
Je shababi likimwambia navaa kondom sittakupa mimba mtoto huyo anaweza kataa?
Mazafantaz ww!...peleka umombasa wako kwa babako swaini mkubwa wewe!Haki ya nani nilikuwa natafuta wife wa kuoa, bibie umeolewa? Maana umeonyesha uelewa na umakini katika malezi ya mtoto,
hahahaMazafantaz ww!...peleka umombasa wako kwa babako swaini mkubwa wewe!
wanapinga mimba.Hao wakiume wanafanya nini hapo?
Kwahakika, tuko katika nchi ambayo ,WATU WANAOFIKIRIA KWA JICHO LATATU WAMEBAKI WAKUTAFUTWA KWA TOCHI..SIO VIONGOZI SIO WANANCHI ...Huu ndio ujinga wa kukemea!...baada ya kutoa elimu kwa watoto juu ya afya ya uzazi na makuzi yao, tunaleta upuuzi wa mtoto kuogopa mimba!
Je shababi likimwambia navaa kondom sittakupa mimba mtoto huyo anaweza kataa?
Alaaa kumbe me nilidhani ni she, OK kausha basiMazafantaz ww!...peleka umombasa wako kwa babako swaini mkubwa wewe!