Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 65
Dereva mmoja wa lori alikuwa baa anapata kinywaji, mara akatokea binti mmoja mzuri sana, binti huyo akaketi katika kiti katika meza aliyokaa jamaa na kumwambia jamaa "Nimekupenda sana kaka, ukiniambia jambo lolote nitakubali" mara moja jamaa akamwambia, "Nenda ukalioshe lori langu lote hapo nje ili nikimaliza tu bia ya tatu nataka niondoke" Binti akakubali!