kitendaguro kwetu
Member
- Oct 8, 2017
- 28
- 117
Si chama Tawala wala vyama vya mapinduzi wala vyama vya mageuzi wala vyama vya wafanyakazi wala Jumuhia yoyote iliyojitokeza kupongeza au kukosoa au kutoa maoni mbadala juu ya taarifa ya mazungumzo kati ya JMT na Barrick ,
Je hii inamaanisha kuwa taarifa imeeleweka vyema na hakuna la kuongeza au bado wanaitafakari taarifa husika?
Je hii inamaanisha kuwa taarifa imeeleweka vyema na hakuna la kuongeza au bado wanaitafakari taarifa husika?