Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Unaweza ukakuta na wewe ni DC ama RC halafu bado watu wanahisi nchi imerogwaLisu anawatumikia mabeberu na kuwaona kama sehemu ya maisha yake
Unaweza ukakuta na wewe ni DC ama RC halafu bado watu wanahisi nchi imerogwaLisu anawatumikia mabeberu na kuwaona kama sehemu ya maisha yake
Huyo mlevi unaomfuata nawe unajiona mjanja kweli umerogwaUnaweza ukakuta na wewe ni DC ama RC halafu bado watu wanahisi nchi imerogwa
Kwa akili yako ya Maiti huwezi kuona udhaifu wakoHuyo mlevi unaomfuata nawe unajiona mjanja kweli umerogwa
Msiwe wapumbavu Lissu hana mamlaka ya kukemea chochote kinachoendelea Marekani, Mwenye mamlaka ni Kabudi na Balozi aliyeko uko. tatzo ujinga na upumbavu umewajaa.
Kule polisi akiuwa uchukuliwa hatua kwetu uhamishwa huku akilamba cha mweziHaaaaa haaaaa wakitetea matumbo utasikia ati jumuia ya kimataifa kwa Floyd siyo ndani ya jumuia? Makuadi wakubwa
Kwa hiyo maandamano dunia nzima ilikuwa ya niniKule polisi akiuwa uchukuliwa hatua kwetu uhamishwa huku akilamba cha mwezi
Yalilaani ukatili wa polisi.Ukatili wa polisi si Jambo la kibaguzi ni tabia binafsi ya polisi.Hakuna kipengere cha ubaguzi,au kuuwa kwenye sheria za polisi dunia nzima.Hata Hawa wetu wanaoumiza au kuuwa waandamanaji ni tabia binafsi za asili za walipotoka ukooni kwao, wengine wanatoka kwenye koo zenye laana ya kuuwa au ukatili, wengine upiga watu sababu ya stress.Kwa hiyo maandamano dunia nzima ilikuwa ya nini
Kwani hukusoma history kuwa wamerekani weusi wana asili ya Africa baada ya babu zao kuuzwa kama watumwa huko America?Huyo Floyd alikuwa ni muafrika?au ukiwa mweusi ndio unakuwa muafrika?
Twende taratibu historia ya mababu haifanyi wao kuwa waafrika watabaki ni wamarekani weusi, kwani Mo dewji ni Mtanzania au Indian?Kwani hukusoma history kuwa wamerekani weusi wana asili ya Africa baada ya babu zao kuuzwa kama watumwa huko America?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Magufuli ameliongelea wapi!!??Ikiwa zimepita siku kadhaa baada ya kifo cha mmarekani mweusi George Floyd kwa kukandamizwa shingoni na police hadi kupelekea kifo chake huko Marekani, pamoja na maandamano yaliyofanyika katika nchi nyingi na watu kutoa matamko ya usawa lakini mwamba huyu amabaye nae hupenda kulituhumu jeshi la police amekaa kimya.
Kulingana na nafasi anayotaka kuiomba sasa ningedhani angejitokeza hadhalani kupinga kitendo hicho cha kinyama kilichofanywa na hao police lakini yeye anazungumzia Tanzania tu kana kwamba hayo hayaoni wakati huko aliko ndo alienda kushitaki kwa kwa kutaka kudhurumiwa haki yake ya kuishi.
Kama muhanga wa kukoswakoswa kufa angesimama na kuwasema hao ma police na kuitaka serikari ya Marekani ichukue hatua kali dhidi ya police hao na kuondoa ubaguzi kwa watu weusi.
Katika hotuba ya jana nilitegemea atagusia hilo lakini kimya sasa ni haki gani anaziomba huko zije Tanzania wakati huko zinavunjwa yeye anaona na yupo huko kimya bila kuwaonya?
Je thamani za waafrica wa huko hazimuhusu?
Nawasilisha.
Mkiomba misaada wanakuwa wafadhili Bwege ndio maaana aliwaita nyie mazezeta ...mnanjaaa ndioooo mmeshiba ndiooooo ..... Ndimi mbilimbiliKwani magufuli anahangaika na sera za mabeberu?,