cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,996
- 139,724
Chitaki kondomu utajua wewe Mimi naogopa kancha
Chitaki kondomu utajua wewe Mimi naogopa kancha
Safi sanaAfya ndo utajiri....Afya nzuri is everything
SanaCondom lazima zihusike
Sio masharti alichoka Kila siku kumeza dawa.Mkuu zile dawa inabidi ujikubali Mimi dawa nikiambiwa ninywe mwezi Mzima kasheshe.Huyo hakufuata masharti watu naowajua wanafuata masharti wanaishi kama kawaida bila ya kusumbuliwa na chochote
unajua umesahaulika hongera mleta madaWiki mbili zilizopita tumezika dada wa rafiki yangu,alichoka kutumia dawa akaamua kuacha.Ilikuwa ukienda kumcheki usipokuwa makini unaweza kumkalia kitandani aisee Dada alikwisha, ukimwi usikie Kwa jirani.
soma uelewe uziUhusiano wa hayo matuta na Ukimwi uko wapi?
yatapanda bei hakikaHayo mafuta ya parachute mbona mafuta ya kawaida ya kujipaka ..
Kumbe mtu anaeza ona mafuta yako akakuwazia mambo ya kipumbavu kabisa?
UKIMWI upooo
Chanjo ya Homa ya Ini ipo naskia unachukua mara tatuHoma ya Ini unaiacha wapi? Tutafute chanjo
Yanasifika na kutumika mno, wanadai ni laini sana, nafahamu katika umma huu hapa hapakosekani bazazi wa kutujaza umahiri wa mafuta haya katika shughuli zao za [so sweetie hole]Hayo mafuta ya parachute mbona mafuta ya kawaida ya kujipaka ..
Kumbe mtu anaeza ona mafuta yako akakuwazia mambo ya kipumbavu kabisa?
UKIMWI upooo
Kibaya zaidi homa ya inni, hata kwa jasho tu, inakupata, tofauti na hiv.Chanjo ya Homa ya Ini ipo naskia unachukua mara tatu