UKIMWI unavyotafuna vijana

Mkuu hali inatisha wakati huo huo watu wengi bado wanachukulia masihara
 
Ukimwi unaua Sana , tena unakata ghafla tuu, we ukisikia mtu amekata ghafla et Kwa ugonjwa wa mda mfupi, pigia mstari ngwengwe hiyo, Ephraim Kibonde in advance, na huyo bi mdada wa Cheka tuu
We mpumbavu sn, kulikuwa na haja gani kumtaja kibonde? Hufikirii anaweza kuwa na Ndugu na jamaa humu? Wajisikiaje unapomtaja kwenye mada km hii? Kuwa na heshima assume km angekuwa mpendwa wako halafu unakutana na comment km hii? Senziiiiiii
 

Wewe ndio mkuu wa mabaharia sasa kamati imekaa na kulipitisha jina lako umepita bila kupingwa

Hiyo ni post ya hovyo kuwahi kuisoma hapa jf
 
Usipotaja watu hawaogopi na kuchukua hatua maana wanaona watapata staha. Pia ukitaja ni rahisi watu kukaa mbali na wale walioatajwa na aliyetangulia mbele ya haki. Marehemu Nelson Mandela alioonyesha njia kwa kumtaja mwanawe hadharani.
Acha upuuzi,
 
Msijifiche kwenye ukimwi tu kuna gonjwa wa ukata wafedha huo ndiyo mbaya kuliko ukimwi,hatupati tiba sahihi kwawakati mwafaka wengi tunachelewa kutokanana ukata wa fedha utakaaje na malaria wiki mbili. Pia usiridhishwe na Tiba ya sinza palestina ujichukurie rufaa dispensary mbezi kwa Msuguli kweli hiyo ni rufaa.
Hospital za serikali ukienda unaumwa kichwa wao ni mabingwa wa kupima malaria mpaka tu mpaka wajue ni dengue umekwisha.Sikubaliani kuwa ukimwi unaua watalamu washa sema ukimwimwi una attack kinga magonjwa nyemelezi ndiyo huua ambayo hutibika na kinga ina kuwa boosted,shida ni ku identify hilo gonjwa nyemelezi on time.
 
Kwenye ukoo wenu nahisi mna matatizo ya uendawazimu sio bure.
 
....siku dawa ikipatikana nitaenda kupima lakini hii yakwenda kupima nikaanza kuishi kwa kubeti mda hapana
 
Kila unapozini au unayemwamini anapozini unaongeza au anakuongezea uwezekano wa kuugua Ukimwi. Tatizo hapa ni uzinzi na uasherati. Ila na sisi ambao hatuna tujue tu kifo hakichagui, si unaongelea kifo kama vile ni Ukimwi tu ndo unaua wakati dakika tano tatu mbili au zaidi hujui ni nini kinakusubiri.
 
Ukimwi unaua Sana , tena unakata ghafla tuu, we ukisikia mtu amekata ghafla et Kwa ugonjwa wa mda mfupi, pigia mstari ngwengwe hiyo, Ephraim Kibonde in advance, na huyo bi mdada wa Cheka tuu

Kutaja majina humu siyo sahihi...nawaomba moderators wakupatie adhabu au wakutoe kabisa humu...it is unethical kutaja magonjwa ya wengine kama wahusika hawajaridhia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…