LWITIKO LWITIKO
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 209
- 117
Sasa mnasubiria nini azalishwe faster kabla hali haijawa mbaya zaidi ili atimize malengo yake shida ni nini?Acha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo ya kizazi stage ya kwanza halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.