Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
May Allah bless Israel....
Mbona nimesoma kichwa cha habari nikaona kimeandikwa kiswahili?? Usiogope tena mkuu sasa hatutatumia tena ndomu. Dawa tiyari hayo maneno mengine ni bla bla tu. Dawa tiyari ila sisi tunaongojea misaada mbona kazi?? Tutaendelea kujifia tuu na mkuu kwisha sena, yeye si mama yetu hivyo tusimlilie njaa.
Asante sana mkuu teteteeeeh, umeibadilisha siku kuwa ya furaha sana,… nimecheka mbayaaaaWeka kwa kiswahili, sisi ni wazalendo


Asante sana mkuu teteteeeeh, umeibadilisha siku kuwa ya furaha sana,… nimecheka mbayaaaa![]()
Chips zimeanza kukupa kiburi?Leo ni siku yangu ya kupita pale sinza na kuopoa chombo kimoja matata nikapige kavu kavu
Hahahahahaaa,Mkuu awamu hii Uzalendo kwanza. Hotuba za Jpm zinanitoaga stress kichizi.


Hahahahahaaa,
Aaah mkuuChips zimeanza kukupa kiburi?
Mkuu tenda ya sanduku utanipa Mimi,nipe vipimo mapema,kuna punguzo maalumLeo ni siku yangu ya kupita pale sinza na kuopoa chombo kimoja matata nikapige kavu kavu
Aaah mkuu




yaelekea kile kiosk cha tatu ushakifungua sasa umeamua kushusha pumzi kwa totozDawa ya ukimwi imeshapatikanaMkuu tenda ya sanduku utanipa Mimi,nipe vipimo mapema,kuna punguzo maalum
Siku moja moja siyo mbaya mkuuyaelekea kile kiosk cha tatu ushakifungua sasa umeamua kushusha pumzi kwa totoz
Nakumbuka kikombe cha loliondo kilivyosepa na wapendwa wetuLeo ni siku yangu ya kupita pale sinza na kuopoa chombo kimoja matata nikapige kavu kavu
Kwani gonjwa la zinaa ni ukimwi tu??Leo ni siku yangu ya kupita pale sinza na kuopoa chombo kimoja matata nikapige kavu kavu