UKIMWI kwisha habari yake!

UKIMWI kwisha habari yake!

Mbona nimesoma kichwa cha habari nikaona kimeandikwa kiswahili?? Usiogope tena mkuu sasa hatutatumia tena ndomu. Dawa tiyari hayo maneno mengine ni bla bla tu. Dawa tiyari ila sisi tunaongojea misaada mbona kazi?? Tutaendelea kujifia tuu na mkuu kwisha sena, yeye si mama yetu hivyo tusimlilie njaa.


hAHAHAAH!! Sasa itafika lini huku kwetu Shikorobo
 
Waathirika wakubwa wa gonjwa hili ni WaAfrika. Kama kawaida suluhisho linatafutwa na wengine, na bado tunajidanganya kuwa tuna/tunatumia akili zetu (kama tunazo) kama wenzetu ambao kila leo ndio wagunduzi na watatuzi wa matatizo.
 
Back
Top Bottom